miambovu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 375
- 780
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamanieee hao usalama ni watu wa kawaida tu (hususani hawa wa hapa kwetu)
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba wanafanya shughuli zao kwa SIRI. Hapo ndio nguvu yao ilipo.
Hata wewe ukiweka maisha yako PRIVATE watu watakuwa wanakuogopa kwa kuwa hawakujui vizuri.
Hata Secret Societies kama Illuminati, Freemasonry, Klu Kla Klux et al zinatumia USIRI kama mbinu mojawapo.
Sababu nyingine: Kwa kuwa CCM inawatumia sana, hivyo imewapa nguvu fulani ( kuwaweka juu ya sheria kwa raia ) kiasi kwamba hata akikuonea huwezi kumfanya chochote.
Suala la kutoaminiana ni kawaida tu kwenye mambo ya ulinzi na usalama, hata walinzi hawaaminiani.
Na kuhusu kutojuana ni kawaida pia, hata mwalimu hajuani na walimu wote nchi nzima unless mmekuwa assigned sehemu moja.
Wanaruhusiwa pia kuwa na vifaa/silaha ambazo wewe raia huruhusiwi kuwa nazo kitu kinachowapa nguvu dhidi ya raia!
Mambo mengine yote ni yale yale.
Kwa nini wasinywe pombe?au wasfuge ndevu +nywele?Me nadhan inategema upo kitengo gan..idara +kaz aliopangiwa mtu ndo inayomshape awejeWanajuana sababu Wana tabia zilizofanana. Wengi ni wakimya, Kuna vigezo vingine wanavyo pia Kama physique na vingine.
Wakikutana walitaka kukutana Wana code zao ambazo wenyewe kwa wenyewe wanazijua. Kwa bongo hawawezi kufuga ndevu, kunywa pombe kupiga kiasi, kuropokaropoka.
Nadhani pia waliyoingia intake moja wanafahamiana lakini Kama hawakuwa mafunzoni pamoja so rahisi kufahamiana. Mfano Toss aliyekuwa attached Kwa mkuu wa wilaya hawezi kumjua Tiss aliyekuwa labda Sabasaba Tantrade mpaka wajitambulishe kwa namba or sort of a code
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!
Hawaaminiani, hawajuani kivile!
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa watu wa chini ni ukweli. Unaweza kuwekwa kitengo au kupewa kazi ambayo iliufanikishe lazima uwe muokota makopo ama muuza karanga. Saa zingine unapewa kesi unafungwa jela kutoka mpaka upate ulichotumwa.
Kuna OCD moja rafiki yangu sana anawaogopa wauza karanga hata awe mtoto. Hawa walitumika sana enzi za Jakaya
God save us
Ndio hivyo.
Weeee nan kakudanganya unakaguliwa kama kama kawa hata kama unajulukana labda tu atayekuwa zamu aamue kukupotezea au mtu ajisahau wakati akiwa na hudumia wengineTISS wanajuana vizuri tu mkuu ndio maana wanaruhusiwa kuingia makumbusho pale getini au malindi au eagle wing bila kuzuiwa.
Ila wapo kawaida sana na kama ulikua ni mkazi wa Mwananyamala Royal au kijitonyama utakuwa umekutana nao sana na pia hua wanahadithia tu wanayokutana nayo kwenye kazi zao. Ni watu kama watu wengine hua tunapenda story zao maana hua ni behind the scene ya mambo mengi nao pia huchalala tukawakopesha pia so kwa kifupi labda ni ile licence to kill waliyonayo na hapo pia sio wote. Ila wapo wengine wamekaa kichangudoaYote ni sahihi japo kuna zaidi ya hayo...na haina haja kuyasema we don't dare talk about Gallant state officers and men.
Haujanielewa nasema kwamba TISS wanajuana na ndio maana wakienda kwenye vituo vyao vya kazi wakipita getini hawazuiwi kuingia maana aliyeko getini anajua kama ni mfanyakazi wa ndani humo iwe Malindi,Eagle Wing , Makumbusho etcWeeee nan kakudanganya unakaguliwa kama kama kawa hata kama unajulukana labda tu atayekuwa zamu aamue kukupotezea au mtu ajisahau wakati akiwa na hudumia wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya movie ukiziangalia tu,,Sijui ni kwa nini lakini kila ninapoenda au kuishi basi watu hunichukulia tofauti sana, yaani huwa wananihusisha na hawa jamaa, mpaka sasa imefikia kipindi natamani NIWE kweli. Kuna sehemu niliwahi kwenda ikafikia kipindi nikikuta watu wanaongea basi nikifika wananyamaza au kubadili story mpaka niondoke hilo eneo(mwenyeji wangu akaniambia hao jamaa wanakuhisi wewe ni usalama) kuna mahali pia niliwahi pata kazi, basi ofisi nzima wananiogopa, kuna bro mmoja tulipozoeana sana ndio akaja kuniambia, watu wanahisi wewe ni usalama, wanakuogopa, tukirudi kitaa (huwa situlii sana hapo, ingia toka nyingi mpaka nimekuwa mkubwa) pia watu huwa wanamuuliza mzee wangu hivi huyu mwanao huwa mnaongea nae kweli (me mkimya) anafanya kazi gani? (Baba aliwahi niambia wanahisi wewe ni usalama) Yaani mpaka watu wazima wa mtaani wananiogopa, kila ninapoenda mimi huwa nakuwa treated tofauti, nahusishwa na hao jamaa mpaka nimezoea na nimejikuta naanza kutamani niwe Usalama kweli sasa. Huwa najiuliza mimi nina nini? Nina Onekana vipi? Sijawahi pata jibu kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya movie ukiziangalia tu,,
Baada ya mda unajiona ww ni usalama[emoji86]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zilongwa Mbali Zitendwa Mbali
Ngoja waje watakufafanulia wenyeweIna maana wenyewe hawana kozi kama za majeshi ambayo inawafanya members kuendelea kujuana.? Au wenyewe kila mtu anapigishwa kozi yake kivyake huko wanapo jua?
Hakuna kibarua kigumu kama hiki mkuu. Unaweza ukapewa kazi halafu baada ya kutoka tu nyuma yako anatumwa agent mwingine wa TISS kuja kukuchunguza kama na wewe utaenda kuifanya kazi yako kwa weledi. Kwa kifupi ni kwaba hakuna kuaminiana.Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!
Hawaaminiani, hawajuani kivile!
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
zibitisha kuhusukuoa au kuolewaHakuna kibarua kigumu kama hiki mkuu. Unaweza ukapewa kazi halafu baada ya kutoka tu nyuma yako anatumwa agent mwingine wa TISS kuja kukuchunguza kama na wewe utaenda kuifanya kazi yako kwa weledi. Kwa kifupi ni kwaba hakuna kuaminiana.
Zamani mtu ambaye yuko TISS alikuwa na uwezo wa kuoa/kuolewa na mtu ambaye sio TISS ila nowadays utaratibu umebadilika, ukiwa TISS unaoa/kuolewa na TISS mwenzako!
Duh! Duh! Mmh umedanganya hakuna kitu kama hicho ningetoa uthibitisho lakini kwa sababu za kiusalama siwezi ila umedanganya!Hakuna kibarua kigumu kama hiki mkuu. Unaweza ukapewa kazi halafu baada ya kutoka tu nyuma yako anatumwa agent mwingine wa TISS kuja kukuchunguza kama na wewe utaenda kuifanya kazi yako kwa weledi. Kwa kifupi ni kwaba hakuna kuaminiana.
Zamani mtu ambaye yuko TISS alikuwa na uwezo wa kuoa/kuolewa na mtu ambaye sio TISS ila nowadays utaratibu umebadilika, ukiwa TISS unaoa/kuolewa na TISS mwenzako!