Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app




Kufahamiana kupo hasa kwa watu mliopiga camp pamoja ila kimajukumu kila mmoja kimpango wake labda iwe kwa watu kwenye Task moja! Over
 
Wapo ktk mfumo wa bata na vifaranga vyake ktk msafara,hakuna kugeuka kumjua mwenzako
 
Mulemule mzee big up...niliwahi kutumika bila mwenyewe kujua katika haya mambo...nilipokuwa chuo nilikua na mahusiano na binti mmoja kumbe bhn ni MTU wa kitengo na nilikuja kujua mwaka wa pili wa masomo,na ana bosi wake kabisa ambaye ndio huwa anampa maelekezo siku moja nkamwambia natamani sana na Mimi nifanye kazi hii akanambia sikushauri ni kazi inayohitaji uzalendo na ni ngumu sana hasa kwa watu wa level za chini kama alivyokuwa yeye na akanambia pale chuo wapo wengi tu na huwezi kuamini wengine..sasa siku moja akanikutanisha na bosi wake bila kujua bosi akanitumia katika shughuli za nchi huku nikiwa sijui nilikuja kujua mwaka wa mwisho kabisa kazi ikiwa imeisha nilichoka...
mkuu alikupa kazi gani hyo ambayo hukujua kama unatumika?
 
Ulimfanyaje mkuu?natamani ningeshuhudia huo mtanange
...hapo kwenye kunywa pombe sushani kama ni kweli mkuu- huku Tabata wanatusumbua mno kwenye mabar...nenda 49/40,Miccasa,BL etc utawakuta wanajiropokea tu
...kuna mmoja niliwashiana moto naye sana hapo Micasa coz alitaka kuniletea makuzi ya kishamba-alijua kila MTU ni wa kumbabaisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya Nyuma enzi za mwalimu kulikuwa na Recruited asset wengi wanakuwa ni ma informer tuu. Lakini wengine huwa wanajimwambafy sana ndio hao wanaopiga kelele bar.

Wenyewe ni wapole na unaweza kuishi nae nyumba moja usinfahamu miaka hata milele. Sign moja ya haijifichi huwa hawakosi ajira. Utasikia leo yuko ITv, kesho mwananchi keshokutwa MM steel mara Railway huwa lazima awe attached na ajira rasmi. Off course zile suti huwa hawakosi kuvaa japo siku moja ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hapa nimekuelewa vizur.
Ndio maana mimi huwa naacha kazi mara kwa mara na kupata kazi sehemu nyingine rafiki zangu huwa wananiogopa na kudhani labda mimi ni informer,kumbe ni lifestyle yangu tu.
 
h


hii ndo kazi ngum na mbaya kuliko zote Duniani..... ni nzr kwa sifa ila ni mbaya kwa utekelezaji.....

nliwahi kusema hii hata kama nitaambiwa kwamba njoo ufanyekazi kwa kwel ntakataa bila hata kukilia....

kitu ambacho unapaswa kujua hii ndo kazi hutapata aman maisha yako yote mpka unaingia kablini..

nakushauri futa hlo wazo.. ni hatari kwa afya yako

Hamna Bhana Acha kutisha watu. Ukitaka ku enjoy Usalama au Jeshi uwe umesoma.

Kwa sasa ni kazi nzuri sana kwasababu unakuwa very much controlled kwa muktadha wa Information. Information is Power , so unajua ile Portion ndogo sana ya Information, na unaweza kufukuzwa kaz kama watumishi wengine ikiwa unakiuka madili ya Usalama.

Zamani ndio ilikuwa tabu , yaani mtu mmoja ana portion nyingi sana za Information kiasi kwamba ukiwa suspect , kifo ndio Jawabu lako.

Ungejua hakuna watu wanaokula National Cake bila kufanya kazi yoyote ngumu ni Usalama. Na kwa sasa wakizingua wanafukuzwa kazi na hata kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria.

Halafu pia tambua kwamba kuwa usalama sio Usnitch wala uadui, ni KAZI , kwa mfano wapo Usalama kazi yao ni kutibu, Ujenzi, ushonaji, injinia, yaani kila mtu fani yake, wengine Finance kazi yao ni kudadavua mahesabu, wengine kazi yao ni kutype barua za serikali, ....

Wacha watu wachague fani zao.

Leo nikikuambia Kitila Mkumbo ni Usalama utakubali ? Na alikuwa ni Mshauri wa Act Wazalendo, nikikuambia Slaa ni Usalama since day one akiwa Chadema utakubali ? Hawa wote ni Critical thinkers na ni wasomi ! Wanakula national cake tu ! Kama unadhani haya mambo yanatokea kwa Bahati mbaya baki hivo hivo.
 
Hamna Bhana Acha kutisha watu. Ukitaka ku enjoy Usalama au Jeshi uwe umesoma.

Kwa sasa ni kazi nzuri sana kwasababu unakuwa very much controlled kwa muktadha wa Information. Information is Power , so unajua ile Portion ndogo sana ya Information, na unaweza kufukuzwa kaz kama watumishi wengine ikiwa unakiuka madili ya Usalama.

Zamani ndio ilikuwa tabu , yaani mtu mmoja ana portion nyingi sana za Information kiasi kwamba ukiwa suspect , kifo ndio Jawabu lako.

Ungejua hakuna watu wanaokula National Cake bila kufanya kazi yoyote ngumu ni Usalama. Na kwa sasa wakizingua wanafukuzwa kazi na hata kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria.

Halafu pia tambua kwamba kuwa usalama sio Usnitch wala uadui, ni KAZI , kwa mfano wapo Usalama kazi yao ni kutibu, Ujenzi, ushonaji, injinia, yaani kila mtu fani yake, wengine Finance kazi yao ni kudadavua mahesabu, wengine kazi yao ni kutype barua za serikali, ....

Wacha watu wachague fani zao.

Leo nikikuambia Kitila Mkumbo ni Usalama utakubali ? Na alikuwa ni Mshauri wa Act Wazalendo, nikikuambia Slaa ni Usalama since day one akiwa Chadema utakubali ? Hawa wote ni Critical thinkers na ni wasomi ! Wanakula national cake tu ! Kama unadhani haya mambo yanatokea kwa Bahati mbaya baki hivo hivo.
una madini ila hiyo natonal cake hueleweki ni ile ya ngungi wa thio?? mshahara?? au vyeo na sifa?? au rasimali kama adini na rupia
 
Ha ha nimecheka sana. Ila kuna kasumba kwa awamu ya 5. Na hiyo kasumba ndio lengo lililokusudiwa. Kuwachanganya watu and not to trust each other.

1. Ukiwa muajiriwa mpya, hapo ofisini wanaanza kukuwekea mashaka even if you are not.
2. Ukihamishwa taasisi moja kwenda nyingine Mfano umetoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar na kuhamishiwa GPSA May be kwa Sababu ya good performance au bad performance yako - wafanyakazi wa hapo ulipohamia wataanza kukutilia shaka

3. Kuna watu practically sio waongeaji, lakini wakiongea they ask too many questions ili wapate kuelewa mada na unakuta ana tabia za kurudia rudia maswali. Sasa imagine una tabia hizi Halafu umehamishiwa GPSA kikazi, just piga picha.

4. Kuna watu ni Antisocial by nature; hawapendi ku mingle kwa sana; wanapenda kuwa alone alone hata wakiwa home na majirani zao. Ni salam kisha ndani. Hujui anaumwa, hujui anakunywa. Probably hajulikan anafanya kazi gani, demu wake hajulikani, hujui dini yake ,hujui ndugu zake na hata ndugu zake hawamsomi, hapost chochote Wasap, wala Instagram, uki mtext muda wa Asubuhi atakujibu usiku tena kwa ufupi sana: yaani ha-entertaining any chatting;

Na kama yupo kwenye Group la wasap he never comments but he is there and reading everything .Ukimuomba msaada atakusaidia kama anaweza na ataendelea na issue zake.

Hizi ni sifa za baadhi ya watu wa system kulingana na nature ya kazi yenyewe. Sasa ukiwa na sifa kama hizi hakuna namna yoyote itakayowafanya watu wasikuhisi kuwa wewe si usalama. Watasema tu huyu ni usalama hata kama sio.

Lakini sio kila Mwanausalama ana sifa kama hizo; kuna baadh ya vitengo kulingana na nature ya kazi yako unatakiwa kusikiliza sana ; na kazi nyingine unatakiwa kuwa talkative talkative Yaani unachokoza maongezi.

Mfano unaweza kusema;

TL ni mjinga tu kwanini yeye awapigie simu Acacia na kuomba kuinunua kesi ili TZ ishindwe, je tukishindwa atanufaika na nini, hana akili wacha lipigwe risasi na chadema wenzie.

Phrase kama hiyo hapo juu utahamsha hisia za watu wengi sana; hivyo kazi yako itakuwa ni kusikiliza na kupata majibu unayoyataka ikiwa ni pamoja na kutukanwa.

All in all; serikali ikitaka taarifa yoyote katika nchi inaipata; ukiona haijaipata ujue haijaamua kuipata hiyo taarifa.

Kwa mfano unafanya kazi bank ya CRDB au JamiiForums na Serikali inataka taarifa za hapo na kwa mfano hakuna mtu wa system hapo; basi atachukuliwa mfanyakazi wa hapo mwenye Muda mrefu ( hasa katika level za Manager au technical personnel) ataombwa kwa heshima na taadhima kutoa taarifa fulani na atahakikishiwa usalama wake na confidentielity ya mazungumzo yao.

—Kwa maadili ya usalama yaliyotukuka na kubarikiwa na Muumba Mungu Mkuu, Usalama are required not to breach the agreements, na unaweza kuwashitaki ikiwa wame breach.

—Mfanyakazi atatoa taarifa na data zote zinazohitajika pasipo kumwambia mtu yoyote na hupaswi kupika data maana usikute Taarifa Inaenda Ikulu mahala takatifu; pasipokuwa na Najisi; otherwise utakwenda na maji uki misslead taasisi ya Uraisi, taasisi ambayo ina baraka za Mungu Mkuu na Wananchi kwa dhamana ya kulilinda Taifa na wajawake.

—Hakuna kazi nzuri kama Usalama ; Ni kazi pekee ambayo unaweza kuingia peponi kwa urahisi sana kwa wale wanaoamini mambo ya pepo. Ni kazi bora kuliko kazi ya kuwa Shekh au Padre etc etc. Imagine unatoa taarifa za kulinda taifa lako, wakati mwingine una weka maisha yako hatarini. Imagine Kazi ya wanajeshi na polisi wanapopambana na majambazi. Wengine hufa kabisa.

Boko haram wanaotishia huko Kenya; imeilazimu Kenya kutengeneza watu walioenda kuji mix na Boko haram; hivyo mitego mingi inateguliwa bila hata raia kujua na wanakamatwa lakini pia baadhi ya wanausalama wamekufa katika purukushani hizo. Wakati huo wewe upo kitandani unazungusha kiuno tu lol, ikifika wiki end unaenda Supermarkets na familia yako kisha kanisani kwa fadhila za usalama uliowekwa na wanausalama. THINK !

Imagine kama kuna machafuko ya kisiasa au vita, utaweza kwenda kanisani au msikitini au kwenda kuabudu mizimu yetu ya Mlima Kilimanjaro tuliyoachiwa urithi na babu zetu waliopata revelation kutoka kwa Mungu Mkuu, utaweza kwenda ? The answer is No!

Wabongo tunadhana mbaya sana na kazi ya Usalama; Hakuna watu wanaofundishwa nidhamu na unyenyekevu wa Hali ya juu dhidi ya binadamu, wanyama, miti, maji, mawe, and everything kama Usalama.

Usalama ni kazi inayolindwa na Mungu mwenyewe ndio maana kila nchi ipo na kila Mwanausalama kuiona Pepo ni wajibu kwa kuwa tayari kuna baraka za Mungu.

Just pay attention, you will see the truth

Usalama unaemzungumzia wewe, sio hawa vijana wa sasa. Ni wale wa enzi za mkapa rudi nyuma.

Msalimie G
 
Wanajuana ,wanaishi kama watu walosoma course moja ,tunakunywa na bia kwenye vile vikao vyetu vya jion bt wana kitu flan tofauti...bt al in all nnachojua mim mfanyakaz mwenzako ofisi moja hatakiwi kua rafiki yako.
 
TISS wa JF
1.....levi...
2. Mk.....
3. Taa...pya
4. Fu...sa..bao

Wengine nimewasahau
 
Back
Top Bottom