Ha ha nimecheka sana. Ila kuna kasumba kwa awamu ya 5. Na hiyo kasumba ndio lengo lililokusudiwa. Kuwachanganya watu and not to trust each other.
1. Ukiwa muajiriwa mpya, hapo ofisini wanaanza kukuwekea mashaka even if you are not.
2. Ukihamishwa taasisi moja kwenda nyingine Mfano umetoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar na kuhamishiwa GPSA May be kwa Sababu ya good performance au bad performance yako - wafanyakazi wa hapo ulipohamia wataanza kukutilia shaka
3. Kuna watu practically sio waongeaji, lakini wakiongea they ask too many questions ili wapate kuelewa mada na unakuta ana tabia za kurudia rudia maswali. Sasa imagine una tabia hizi Halafu umehamishiwa GPSA kikazi, just piga picha.
4. Kuna watu ni Antisocial by nature; hawapendi ku mingle kwa sana; wanapenda kuwa alone alone hata wakiwa home na majirani zao. Ni salam kisha ndani. Hujui anaumwa, hujui anakunywa. Probably hajulikan anafanya kazi gani, demu wake hajulikani, hujui dini yake ,hujui ndugu zake na hata ndugu zake hawamsomi, hapost chochote Wasap, wala Instagram, uki mtext muda wa Asubuhi atakujibu usiku tena kwa ufupi sana: yaani ha-entertaining any chatting;
Na kama yupo kwenye Group la wasap he never comments but he is there and reading everything .Ukimuomba msaada atakusaidia kama anaweza na ataendelea na issue zake.
Hizi ni sifa za baadhi ya watu wa system kulingana na nature ya kazi yenyewe. Sasa ukiwa na sifa kama hizi hakuna namna yoyote itakayowafanya watu wasikuhisi kuwa wewe si usalama. Watasema tu huyu ni usalama hata kama sio.
Lakini sio kila Mwanausalama ana sifa kama hizo; kuna baadh ya vitengo kulingana na nature ya kazi yako unatakiwa kusikiliza sana ; na kazi nyingine unatakiwa kuwa talkative talkative Yaani unachokoza maongezi.
Mfano unaweza kusema;
TL ni mjinga tu kwanini yeye awapigie simu Acacia na kuomba kuinunua kesi ili TZ ishindwe, je tukishindwa atanufaika na nini, hana akili wacha lipigwe risasi na chadema wenzie.
Phrase kama hiyo hapo juu utahamsha hisia za watu wengi sana; hivyo kazi yako itakuwa ni kusikiliza na kupata majibu unayoyataka ikiwa ni pamoja na kutukanwa.
All in all; serikali ikitaka taarifa yoyote katika nchi inaipata; ukiona haijaipata ujue haijaamua kuipata hiyo taarifa.
Kwa mfano unafanya kazi bank ya CRDB au JamiiForums na Serikali inataka taarifa za hapo na kwa mfano hakuna mtu wa system hapo; basi atachukuliwa mfanyakazi wa hapo mwenye Muda mrefu ( hasa katika level za Manager au technical personnel) ataombwa kwa heshima na taadhima kutoa taarifa fulani na atahakikishiwa usalama wake na confidentielity ya mazungumzo yao.
—Kwa maadili ya usalama yaliyotukuka na kubarikiwa na Muumba Mungu Mkuu, Usalama are required not to breach the agreements, na unaweza kuwashitaki ikiwa wame breach.
—Mfanyakazi atatoa taarifa na data zote zinazohitajika pasipo kumwambia mtu yoyote na hupaswi kupika data maana usikute Taarifa Inaenda Ikulu mahala takatifu; pasipokuwa na Najisi; otherwise utakwenda na maji uki misslead taasisi ya Uraisi, taasisi ambayo ina baraka za Mungu Mkuu na Wananchi kwa dhamana ya kulilinda Taifa na wajawake.
—Hakuna kazi nzuri kama Usalama ; Ni kazi pekee ambayo unaweza kuingia peponi kwa urahisi sana kwa wale wanaoamini mambo ya pepo. Ni kazi bora kuliko kazi ya kuwa Shekh au Padre etc etc. Imagine unatoa taarifa za kulinda taifa lako, wakati mwingine una weka maisha yako hatarini. Imagine Kazi ya wanajeshi na polisi wanapopambana na majambazi. Wengine hufa kabisa.
Boko haram wanaotishia huko Kenya; imeilazimu Kenya kutengeneza watu walioenda kuji mix na Boko haram; hivyo mitego mingi inateguliwa bila hata raia kujua na wanakamatwa lakini pia baadhi ya wanausalama wamekufa katika purukushani hizo. Wakati huo wewe upo kitandani unazungusha kiuno tu lol, ikifika wiki end unaenda Supermarkets na familia yako kisha kanisani kwa fadhila za usalama uliowekwa na wanausalama. THINK !
Imagine kama kuna machafuko ya kisiasa au vita, utaweza kwenda kanisani au msikitini au kwenda kuabudu mizimu yetu ya Mlima Kilimanjaro tuliyoachiwa urithi na babu zetu waliopata revelation kutoka kwa Mungu Mkuu, utaweza kwenda ? The answer is No!
Wabongo tunadhana mbaya sana na kazi ya Usalama; Hakuna watu wanaofundishwa nidhamu na unyenyekevu wa Hali ya juu dhidi ya binadamu, wanyama, miti, maji, mawe, and everything kama Usalama.
Usalama ni kazi inayolindwa na Mungu mwenyewe ndio maana kila nchi ipo na kila Mwanausalama kuiona Pepo ni wajibu kwa kuwa tayari kuna baraka za Mungu.
Just pay attention, you will see the truth