Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Kwa nini wasinywe pombe?au wasfuge ndevu +nywele?Me nadhan inategema upo kitengo gan..idara +kaz aliopangiwa mtu ndo inayomshape aweje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi nadhani wameathirika na zile story mitaani miaka hiyo na nashangaa sana mpaka sasa hv bado kuna watu wanaamini hivyo.
Hawa jamaa hawana usiri wowote wanajulikana sana tuu ula ni kwa sababu hawana uniform au sare kama jeshi la polisi au jw, magari yao ukiyaona utayajua, wanakoishi tunapajua nk nk.
Tofauti kubwa ni kwamba wengi wao ni kama jicho la tatu kwa serikali, kwa hiyo anaweza akawa polisi lkn majukumu yake ni zaidi ya polisi, au akawa meneja wa bank lakini jukumu lake ni zaidi ya umeneja, anaweza akawa mwalimu nk nk. Hivyo kujulikana au kutojulikana kwao kunategemeana na majukumu yao ya kiutendaji, ila wengi wanjulikanaga tuu kirahisi.
Pia kuna wale matapeli wa uswahilini watakudanganya kumbe hawana lolote, na hao ndio wanaopaint hii picha watu wengi walionayo kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yote ni sahihi japo kuna zaidi ya hayo...na haina haja kuyasema we don't dare talk about Gallant state officers and men.
 
Hiyo ya kufungwa jela imeniogopesha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote ni sahihi japo kuna zaidi ya hayo...na haina haja kuyasema we don't dare talk about Gallant state officers and men.
Ila wapo kawaida sana na kama ulikua ni mkazi wa Mwananyamala Royal au kijitonyama utakuwa umekutana nao sana na pia hua wanahadithia tu wanayokutana nayo kwenye kazi zao. Ni watu kama watu wengine hua tunapenda story zao maana hua ni behind the scene ya mambo mengi nao pia huchalala tukawakopesha pia so kwa kifupi labda ni ile licence to kill waliyonayo na hapo pia sio wote. Ila wapo wengine wamekaa kichangudoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weeee nan kakudanganya unakaguliwa kama kama kawa hata kama unajulukana labda tu atayekuwa zamu aamue kukupotezea au mtu ajisahau wakati akiwa na hudumia wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Haujanielewa nasema kwamba TISS wanajuana na ndio maana wakienda kwenye vituo vyao vya kazi wakipita getini hawazuiwi kuingia maana aliyeko getini anajua kama ni mfanyakazi wa ndani humo iwe Malindi,Eagle Wing , Makumbusho etc
 
Kuna baadhi ya movie ukiziangalia tu,,

Baada ya mda unajiona ww ni usalama[emoji86]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna aina nyingi za ndege zilizo hai na zisizo hai.
Kuna ndege akifa hakuna mdudu wala kiumbe chochote kula mzoga/mabaki yake.
Vivyo hivyo kuna ndege ikianguka hakuna wa kupona,ingawa hutegemea itilafu,aina ya ndege na yupi rubani wake.
Kuna ndege wala nafaka,nyama,majani,minyoo,asali za maua,matunda na hata samaki na nyoka.
Ninaamini ndege walio wengi wanafahamiana ingawa sio wote.
 
Hakuna kibarua kigumu kama hiki mkuu. Unaweza ukapewa kazi halafu baada ya kutoka tu nyuma yako anatumwa agent mwingine wa TISS kuja kukuchunguza kama na wewe utaenda kuifanya kazi yako kwa weledi. Kwa kifupi ni kwaba hakuna kuaminiana.

Zamani mtu ambaye yuko TISS alikuwa na uwezo wa kuoa/kuolewa na mtu ambaye sio TISS ila nowadays utaratibu umebadilika, ukiwa TISS unaoa/kuolewa na TISS mwenzako!
 
zibitisha kuhusukuoa au kuolewa
 
Duh! Duh! Mmh umedanganya hakuna kitu kama hicho ningetoa uthibitisho lakini kwa sababu za kiusalama siwezi ila umedanganya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…