Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Wanajuana sababu Wana tabia zilizofanana. Wengi ni wakimya, Kuna vigezo vingine wanavyo pia Kama physique na vingine.
Wakikutana walitaka kukutana Wana code zao ambazo wenyewe kwa wenyewe wanazijua. Kwa bongo hawawezi kufuga ndevu, kunywa pombe kupiga kiasi, kuropokaropoka.
Nadhani pia waliyoingia intake moja wanafahamiana lakini Kama hawakuwa mafunzoni pamoja so rahisi kufahamiana. Mfano Toss aliyekuwa attached Kwa mkuu wa wilaya hawezi kumjua Tiss aliyekuwa labda Sabasaba Tantrade mpaka wajitambulishe kwa namba or sort of a code
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekaa wap m nko restaurant hapa mkuuWanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa !
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi , unafanya nini !
Hawaaminiani , hawajuani kivile !
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakijuana na kutengeneza mtandao usalama utakuwepo kweli? Lazima wasijuane! Na kila mtu
anareport kwa bosi wake mmoja na anapokea maelekezo kutoka chanzo kimoja! Kwenye utendaji wanaweza
kujuana lakini wachache sana labda 2
au 3 na tena ujui nani anamchunguza
nani? Tena unakuta mwingine kazi yake
ni kuchunguza mienendo ya mwenziwe na kureport basi! Hata hivyo kwa ngazi
za chini maslahi hakuna na unatakiwa
huwe mzalendo na kujitolea kwasaana!
Ngazi za juu familia yako inaweza kutumiwa kukuwajibisha kama
utazingua na unakuwa unajua hilo! Kwa
ufupi sio kazi nzuri kama watu wanavyodhani! Sikushauri!
Ndio ndio mie sio undercoer.. na hauna haja ya kutoa sababu.. utapoteza mda buree 😀😀😀Japokuwa ulichoongea ni kweli lakini wewe huwezi kuwa undercover usiniulize sababu mkuu
Ni kweli tunafundishwa kutokuaminiana maana mtu unayemuamini anaweza kukuchoma muda wowote.Wanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa !
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi , unafanya nini !
Hawaaminiani , hawajuani kivile !
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mwambia wewe ni ngedere tu.Kuna watu wanajifanya wazee wa k nyama.kwenye vi grocery mtaani ukimzingua mtu kidoogo anakuuliza "hivi unanijua mm ni nani"
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa umetumwa uje ufanye uchunguzi juu hili kwa akina sie 'miangu nene nzala tee' kama tunafamu kuwa wazee wa k. Nyama wanajuana au la.. wanajuana kwenye majukumu au la! Wadau washakujibu mkuu TISS kilichobaki we peleka ripoti ofisiniWanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa !
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi , unafanya nini !
Hawaaminiani , hawajuani kivile !
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha commander [emoji2960]Ni kweli sisi kwa sisi hatufahamianani na pia kazi zetu hazitaki tufahamiane
Sent using Jamii Forums mobile app