Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Mulemule mzee big up...niliwahi kutumika bila mwenyewe kujua katika haya mambo...nilipokuwa chuo nilikua na mahusiano na binti mmoja kumbe bhn ni MTU wa kitengo na nilikuja kujua mwaka wa pili wa masomo,na ana bosi wake kabisa ambaye ndio huwa anampa maelekezo siku moja nkamwambia natamani sana na Mimi nifanye kazi hii akanambia sikushauri ni kazi inayohitaji uzalendo na ni ngumu sana hasa kwa watu wa level za chini kama alivyokuwa yeye na akanambia pale chuo wapo wengi tu na huwezi kuamini wengine..sasa siku moja akanikutanisha na bosi wake bila kujua bosi akanitumia katika shughuli za nchi huku nikiwa sijui nilikuja kujua mwaka wa mwisho kabisa kazi ikiwa imeisha nilichoka...
Hujaeleweka , rudia kusoma tena ,mara ulikuwa unatumika bila kujijua,mara ulikuwa unajua unatumika .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya Nyuma enzi za mwalimu kulikuwa na Recruited asset wengi wanakuwa ni ma informer tuu. Lakini wengine huwa wanajimwambafy sana ndio hao wanaopiga kelele bar.

Wenyewe ni wapole na unaweza kuishi nae nyumba moja usinfahamu miaka hata milele. Sign moja ya haijifichi huwa hawakosi ajira. Utasikia leo yuko ITv, kesho mwananchi keshokutwa MM steel mara Railway huwa lazima awe attached na ajira rasmi. Off course zile suti huwa hawakosi kuvaa japo siku moja ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya Nyuma enzi za mwalimu kulikuwa na Recruited asset wengi wanakuwa ni ma informer tuu. Lakini wengine huwa wanajimwambafy sana ndio hao wanaopiga kelele bar.

Wenyewe ni wapole na unaweza kuishi nae nyumba moja usinfahamu miaka hata milele. Sign moja ya haijifichi huwa hawakosi ajira. Utasikia leo yuko ITv, kesho mwananchi keshokutwa MM steel mara Railway huwa lazima awe attached na ajira rasmi. Off course zile suti huwa hawakosi kuvaa japo siku moja ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya kutokukosa kazi mkuu ilikuwa almanusura iniponze! Watu wakaanza kuulizana mbona huyu jamaa anabadili kazi namna hiyo? Huyu atakuwa kitengo! Looh, jamani mengine ni kazi tu!
 
Wanajuana sababu Wana tabia zilizofanana. Wengi ni wakimya, Kuna vigezo vingine wanavyo pia Kama physique na vingine.

Wakikutana walitaka kukutana Wana code zao ambazo wenyewe kwa wenyewe wanazijua. Kwa bongo hawawezi kufuga ndevu, kunywa pombe kupiga kiasi, kuropokaropoka.

Nadhani pia waliyoingia intake moja wanafahamiana lakini Kama hawakuwa mafunzoni pamoja so rahisi kufahamiana. Mfano Toss aliyekuwa attached Kwa mkuu wa wilaya hawezi kumjua Tiss aliyekuwa labda Sabasaba Tantrade mpaka wajitambulishe kwa namba or sort of a code

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu ndevu usijidanganye wanafuga sana tu
 
Asante sana mkuu. Umeanalyse vizur sana. Nafkir umeitendea haki shule yako. Ubarikiwe mkuu
Jamanieee hao usalama ni watu wa kawaida tu (hususani hawa wa hapa kwetu)

Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba wanafanya shughuli zao kwa SIRI. Hapo ndio nguvu yao ilipo.

Hata wewe ukiweka maisha yako PRIVATE watu watakuwa wanakuogopa kwa kuwa hawakujui vizuri.

Hata Secret Societies kama Illuminati, Freemasonry, Klu Kla Klux et al zinatumia USIRI kama mbinu mojawapo.

Sababu nyingine: Kwa kuwa CCM inawatumia sana, hivyo imewapa nguvu fulani ( kuwaweka juu ya sheria kwa raia ) kiasi kwamba hata akikuonea huwezi kumfanya chochote.

Suala la kutoaminiana ni kawaida tu kwenye mambo ya ulinzi na usalama, hata walinzi hawaaminiani.

Na kuhusu kutojuana ni kawaida pia, hata mwalimu hajuani na walimu wote nchi nzima unless mmekuwa assigned sehemu moja.

Wanaruhusiwa pia kuwa na vifaa/silaha ambazo wewe raia huruhusiwi kuwa nazo kitu kinachowapa nguvu dhidi ya raia!

Mambo mengine yote ni yale yale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye flats wanakaa pamoja lakini kikazi vitengo tofauti kuna siri za levo fulani hawaambizani zote kila kitengo na siri zao ila kazi ni moja ni kama unavyoona jw au polisi kuna levo ya afisa hawezi muambia prvt au konstebo taarifa labda ya kikao taarifa zinaendana na renki ya kitengo
Hawajuani kivipi mkuu wakati wanaflats zao na mpk ofisi zao zinajulikana???????????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna chizi mmoja huku mtaani ni wa muda mrefu sana,ila nimeanza kuwa na mashaka nae

kutokana na uchizi wake ulivyo na msimu na sehemu anazopenda ingia kuomba sh.200 ya sport

yeye muda wote yuko rough ananuka,sema nguo zake za kunuka hzo hzo anabadlisha leo

atavaa hii kesho atavaa ile,nishamuhesabia pea za nguo zake zinazidi 10 Japo zote ni za kichizi chizi.

Hili jamaa ni li usalama kbsa,hawa viumbe ukiamua kutumia akili zako zote Mungu alizokupa

utawajua wote maana wana sifa 1 kuu ambayo wote wanayo "umakini" wa hali ya Juu.
 
Anaesema TISS hawafugi ndevu aendele kujidanganya hivyo hivyo,kuna TISS mpk madada poa

wana tatoo mpk matakoni na ni TISS bahati mbaya ya hii taasisi unaweza pigwa chini na ukawa

mwananchi wa kawaida kbsa ukawa una hangaika mtaani na maisha ila ulishawahi kuwa TISS

na hawa wanaopigwa chini ndio wavujisha siri za kambi,nadhani serikali iangalie na kazi za ambazo

mtu anaweza kufukuzwa/achishwa,unamuajiri TISS anafaya kazi miaka 10 halafu unakuja mtumbua

kwa kosa la kizembe tu,bora hata badala ya kuwatumbua wangewapa majukumu mengine ila sio kuwatupa

huku mtaani.
 
Mulemule mzee big up...niliwahi kutumika bila mwenyewe kujua katika haya mambo...nilipokuwa chuo nilikua na mahusiano na binti mmoja kumbe bhn ni MTU wa kitengo na nilikuja kujua mwaka wa pili wa masomo,na ana bosi wake kabisa ambaye ndio huwa anampa maelekezo siku moja nkamwambia natamani sana na Mimi nifanye kazi hii akanambia sikushauri ni kazi inayohitaji uzalendo na ni ngumu sana hasa kwa watu wa level za chini kama alivyokuwa yeye na akanambia pale chuo wapo wengi tu na huwezi kuamini wengine..sasa siku moja akanikutanisha na bosi wake bila kujua bosi akanitumia katika shughuli za nchi huku nikiwa sijui nilikuja kujua mwaka wa mwisho kabisa kazi ikiwa imeisha nilichoka...
Kwa watu wa chini ni ukweli. Unaweza kuwekwa kitengo au kupewa kazi ambayo iliufanikishe lazima uwe muokota makopo ama muuza karanga. Saa zingine unapewa kesi unafungwa jela kutoka mpaka upate ulichotumwa.

Kuna OCD moja rafiki yangu sana anawaogopa wauza karanga hata awe mtoto. Hawa walitumika sana enzi za Jakaya

God save us
 
Mulemule mzee big up...niliwahi kutumika bila mwenyewe kujua katika haya mambo...nilipokuwa chuo nilikua na mahusiano na binti mmoja kumbe bhn ni MTU wa kitengo na nilikuja kujua mwaka wa pili wa masomo,na ana bosi wake kabisa ambaye ndio huwa anampa maelekezo siku moja nkamwambia natamani sana na Mimi nifanye kazi hii akanambia sikushauri ni kazi inayohitaji uzalendo na ni ngumu sana hasa kwa watu wa level za chini kama alivyokuwa yeye na akanambia pale chuo wapo wengi tu na huwezi kuamini wengine..sasa siku moja akanikutanisha na bosi wake bila kujua bosi akanitumia katika shughuli za nchi huku nikiwa sijui nilikuja kujua mwaka wa mwisho kabisa kazi ikiwa imeisha nilichoka...
waongo bhana wewe utumike shughuli ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye kufuga ndevu, si kweli kwamba hawafugi, wasiofuga ni wale wanaofahamika. Kila mtu ana purpose yake katika eneo husika kuna wengine ni wazugaji tu, wanakuwa na mwonekano usiokuwa wa kimaadili ya utumishi ili watu wasiwastukie. Hao ndio wakusanya taarifa wazuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi namjua askari mmoja mwenye Rasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom