Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Muundo wa TISS umeharibiwa Sana na CCM , Tz idara hii inayumba Sana undugu na ukabila umejaa Sana, ethics zote zimeporomoka!!

Swala la kujuana inategemea kitengo, si wote wanaojuana inategemea kitengo chako!!!

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
TISS imekuja kuharibiwa wakati wa Awamu ya 4. Ukabila na kujuana umeletwa na JK, watu walikuwa wanapewa kazi hata ambao hawana sifa. Baada ya JK kuona ameharibu hii idara ndipo akaanzisha kitengo ambacho alikuwa anawajua yeye tu labda na watu waliokuwa karibu nae ki protocol. Hapo ndipo TISS iligawanyika wakaanza kuogopana.

God save us
 
Miaka ya Nyuma enzi za mwalimu kulikuwa na Recruited asset wengi wanakuwa ni ma informer tuu. Lakini wengine huwa wanajimwambafy sana ndio hao wanaopiga kelele bar.

Wenyewe ni wapole na unaweza kuishi nae nyumba moja usinfahamu miaka hata milele. Sign moja ya haijifichi huwa hawakosi ajira. Utasikia leo yuko ITv, kesho mwananchi keshokutwa MM steel mara Railway huwa lazima awe attached na ajira rasmi. Off course zile suti huwa hawakosi kuvaa japo siku moja ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwingne ni mwalimu kabisa kijijini lakini nimeshaga nyaka picha zake nyingi tu za kutisha sana na anafanya kazi mazingira magumu waga namuangalia nacheka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Toss ni wahuni tu
 
Kwa watu wa chini ni ukweli. Unaweza kuwekwa kitengo au kupewa kazi ambayo iliufanikishe lazima uwe muokota makopo ama muuza karanga. Saa zingine unapewa kesi unafungwa jela kutoka mpaka upate ulichotumwa.

Kuna OCD moja rafiki yangu sana anawaogopa wauza karanga hata awe mtoto. Hawa walitumika sana enzi za Jakaya

God save us
Kama OCD anawaogopa wauza makopo,basi ni sababu ya ugaidi na sio sababu wanaweza kuwa watu wa usalama wa taifa.sambamba na wauza alkasus.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaesema TISS hawafugi ndevu aendele kujidanganya hivyo hivyo,kuna TISS mpk madada poa

wana tatoo mpk matakoni na ni TISS bahati mbaya ya hii taasisi unaweza pigwa chini na ukawa

mwananchi wa kawaida kbsa ukawa una hangaika mtaani na maisha ila ulishawahi kuwa TISS

na hawa wanaopigwa chini ndio wavujisha siri za kambi,nadhani serikali iangalie na kazi za ambazo

mtu anaweza kufukuzwa/achishwa,unamuajiri TISS anafaya kazi miaka 10 halafu unakuja mtumbua

kwa kosa la kizembe tu,bora hata badala ya kuwatumbua wangewapa majukumu mengine ila sio kuwatupa

huku mtaani.
Huwezi kuwa special kiasi hicho utasumbua watu.na ikifikia hatua hiyo hauko mbali kufa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuwa special kiasi hicho utasumbua watu.na ikifikia hatua hiyo hauko mbali kufa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishawahi kutana na mdada mmoja telegram dau lako liko poa tu nikaenda kujilia mzigo sasa baada game napumziko story zake ni kuhusu usalama wa Taifa tu akiuliza ivi namjibu vile nikahisi tu uyu ni mwewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajuana sababu Wana tabia zilizofanana. Wengi ni wakimya, Kuna vigezo vingine wanavyo pia Kama physique na vingine.

Wakikutana walitaka kukutana Wana code zao ambazo wenyewe kwa wenyewe wanazijua. Kwa bongo hawawezi kufuga ndevu, kunywa pombe kupiga kiasi, kuropokaropoka.

Nadhani pia waliyoingia intake moja wanafahamiana lakini Kama hawakuwa mafunzoni pamoja so rahisi kufahamiana. Mfano Toss aliyekuwa attached Kwa mkuu wa wilaya hawezi kumjua Tiss aliyekuwa labda Sabasaba Tantrade mpaka wajitambulishe kwa namba or sort of a code

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna mmoja huyo anakunywa
Pia mwingine namfaham ana sifa ulizotaja hapo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu, kwa vipaumbele vya maisha sasa mnapata wapi mda wa kujadili mambo yasiyokuwa na faida kwa kiwango hiki?
Kila mtu na kipaumbele chake otherwise unataka kusema maisha yako wewe ndiyo maisha ya wengine.
 
Hao TISS ni watu gani kwani ? Mbona mimi sijawahi fanikiwa kumfahamu hata mmoja ?
 
Back
Top Bottom