Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ukitaka kuwajua,jichanganye kwenye vijiwe vya kahawa,dafti na bao Wazee wa vijiwe hivyo wanawajua vizuri
Huwa wanawaitwa Askari wapelelezi
Vijiwe vya kahawa wengi Ni makachero wa polisi mkuu, wale tofauti na TISS mkuu hata mtu wa TISS akiwa undercover anatofautiana Sana na Hawa makachero wa polisi

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Ni kweliii kbsa mkuu, Na awamu hii ya tano iliharibu Sana kipindi Cha Mchungaji Kapilimba hivi Sasa huyu Afande Diwani anahangaika tu kuweka vitu sawia japo mfumo ushaozaa kabisa!! Kule Jkt nakoenda kuchukua vijana wanafelii Sana Tena sanaa

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Nilitegemea kuliona hili, Kipilimba aliharibu Idara sana. Japo diwani anapambana kuirudisha ila bado sio mtu sahihi..

Who knows ya yajayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misitishike na hao jamaa wengine ni maclass mates wetu Kama mimi nilikuwa nasoma na mmoja wao baada ya kumaliza form 4 tulipotezana miaka 4 baada ya kuonana nae akanitonya yupo kitengo lakini akaniambia huwa hawakai sehemu mmoja mpaka agizo alilopewa mpaka likamilike hasa kwa watumishi wanaojisahau au kula Rushwa na madili ya hapa na pale ni watu wa kawaida tu sema wana kuwa kama kivuli cha polisi
Naomba kuuliza hivi ulikuwa unajua takukuru wanauwezo wa kuchunguza tasisi zote za serikali na kuchukua hatua kwa mwenendo wetu ulivyo
 
Ni kweliii kbsa mkuu, Na awamu hii ya tano iliharibu Sana kipindi Cha Mchungaji Kapilimba hivi Sasa huyu Afande Diwani anahangaika tu kuweka vitu sawia japo mfumo ushaozaa kabisa!! Kule Jkt nakoenda kuchukua vijana wanafelii Sana Tena sanaa

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Mkuu unajua recruitment ya sasa inakuwa ngumu kuwapata wale cream kwa sababu hawapati mda wa kuwafahamu waajiliwa. Enzi hizo ili uwe recruited unakuwa umeshachunguzwa kwa kila kitu yaani wanakuwa wanakufaham in and out.
 
Hilo la kujuana ama kutojuana sijui, Ila la kutokuaminiana nadhani ni kweli. Nimefanya kazi kwenye kampuni za ulinzi tofauti hapa Tanzania. Msisitizo mkubwa unawekwa kwenye kutokumuamini yoyote unaefanya nae kazi kuanzia walinzi Hadi staff. Wanasisitiza kuamini kwenye chain of command zaidi kuliko individuals kwa usalama zaidi, ndio maana reporting mi muhimu Sana. Na reporting iwe kwa maandishi kwa ushahidi zaidi na usalama wako na jamii kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la kujuana ama kutojuana sijui, Ila la kutokuaminiana nadhani ni kweli. Nimefanya kazi kwenye kampuni za ulinzi tofauti hapa Tanzania. Msisitizo mkubwa unawekwa kwenye kutokumuamini yoyote unaefanya nae kazi kuanzia walinzi Hadi staff. Wanasisitiza kuamini kwenye chain of command zaidi kuliko individuals kwa usalama zaidi, ndio maana reporting mi muhimu Sana. Na reporting iwe kwa maandishi kwa ushahidi zaidi na usalama wako na jamii kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe kampuni za ulinzi kama (KITUMBO SECURITY ) ndio TISS sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unajua recruitment ya sasa inakuwa ngumu kuwapata wale cream kwa sababu hawapati mda wa kuwafahamu waajiliwa. Enzi hizo ili uwe recruited unakuwa umeshachunguzwa kwa kila kitu yaani wanakuwa wanakufaham in and out.
Ni sahihi kabisa mkuu!! Zamani walipenda Sana kutumia special schools kuwapata vijana!!

Siku hizi Ni kujuana na uccm zaidi

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Hilo la kujuana ama kutojuana sijui, Ila la kutokuaminiana nadhani ni kweli. Nimefanya kazi kwenye kampuni za ulinzi tofauti hapa Tanzania. Msisitizo mkubwa unawekwa kwenye kutokumuamini yoyote unaefanya nae kazi kuanzia walinzi Hadi staff. Wanasisitiza kuamini kwenye chain of command zaidi kuliko individuals kwa usalama zaidi, ndio maana reporting mi muhimu Sana. Na reporting iwe kwa maandishi kwa ushahidi zaidi na usalama wako na jamii kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Ni rule number 1 katika maisha ya usalama!! Trust no body na rule number 2 never underestimate the power of unknown!!

Hivyo kiulinzi na usalama principles lazima zifuatwe haijalishi ktk kitengo gani!! Mlinzi, Afande, komando, TISS n.k

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Wanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja kwanza; unazungumzia hawa hawa wanaojitaja kuwa Mimi ni Usalama wa Taifa??
 
Wanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja kwanza; unazungumzia hawa hawa wanaojitaja kuwa Mimi ni Usalama wa Taifa??
under cover ndio hatufahamiani, hao wengine wanajuana kama watumishi wengine tu wa umma wanaenda ofisini kila siku na wanaishi kwenye nyumba za idara

Kwa mfano Mimi nilikua sifahamu kama DG wa sasa ni Mwana idarA
Wengi wanajulikana wengine hawajulikani.
 
Hata Kama Siyajui haya mambo Lakini kwa logic ya kawaida kabisa.
Kama wanaenda kozi wataachaje kufahamiana walioenda kozi intake Moja?
Kama wanaofisi wataachaje kufahamiana walio ofisi Moja?
Kama kuna kazi wanazifanya kwapamoja wataachaje kufahamiana?
Ninavyoona Itakua kuna watu wnaopewa majukumu maalumu na hivyo kutofahamika kwa urahisi, pia baadhi ya undercover kutokana na unyeti wa kazi zao huenda hawafahamiki.
Utaachaje kumjua DSO au RSO na watu wake kwenye ofisi husika na kila majukumu wanaonekana na Watu wanafanya nao kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utadhani vikao wanafanyia mbinguni lakini kama wanafanyia hapa hapa duniani kwa nini wasijulilane?? Hawatajulikana kwa wengi lakini watajulikana tu na kujuana. Kwani kwenye operations zao hawashirikiani?
 
Toa ufafanuzi mkuu. Kuna rafiki yangu chuoni anajua ofisi zao zote, naona kila siku ananiletea story zao na yeye anajifanya hayupo uko. Then watu wengi wananambia mimi ningefaa usalama, kitu ambacho siwezi enda. Kwanza huwezi nihusisha na siasa kwa njia yoyote na TISS ya bongo najua ni siasa kwa sana.
Ujasusi wa Bongo huwezi kuutemganisha na siasa.
 
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Ahsante sana kwa hili angalizo,ingekuwa sijamtia mimba ningeshamfukuza ila kwasababu Ana mimba,nishampangia chumba Niko kwenye harakati za kumnunulia samani halafu ghafla bin vuu kabla hajajipanga nimuhamishie kule.
Nalog off
 
Vijiwe vya kahawa wengi Ni makachero wa polisi mkuu, wale tofauti na TISS mkuu hata mtu wa TISS akiwa undercover anatofautiana Sana na Hawa makachero wa polisi

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
We jamaa! House girls hawa noma
 
Back
Top Bottom