Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

kuna dogo mmoja aliyekuwa pemben ya jpm wakat akinywa kahawa kijiwen jana, kageuza shati hv, tafta hyo clip uiangalie

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tuoneshe huyo aliyegeuza shati...maana wote wamevaa t-shirts na form 6
Screenshot_20200401-213141.jpeg
Screenshot_20200401-212852.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyoka....
 
Maafisa usalama ambao wameenda kozi pamoja kabla ya kupewa ajira hufamiana vizuri tu..

Sema kuna wale Majasusi ambao hutumika kufanya mission mbalimbali katika nchi za wenzetu wale ni ngumu kutambulika na wengi hufanywa siri labda wale wakubwa ambao wako juu ndio huwafahamu..

Ila kwa hawa ambao wako nchini wanafahamiana vizuri tu maana hugongana sana maofisini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tiss yetu ni ile squad inayomlinda rais the rest hawa wanywa ulanzi wa mikoani na mtaani mbona wanafahamika tuu

Sent from my I phone
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa asipotembelea V8 lake 90% ukiambiwa ni mganga wa kienyeji haubishi ila ingia 18 zake sasa ndio utamtambua ni mweupe anavaa bangili za kiganga mikono yote kama wacheza ngoma wa zeze kutoka vijijini

yote kwa yote jamaa anachapa kazi yake vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa asipotembelea V8 lake 90% ukiambiwa ni mganga wa kienyeji haubishi ila ingia 18 zake sasa ndio utamtambua ni mweupe anavaa bangili za kiganga mikono yote kama wacheza ngoma wa zeze kutoka vijijini

yote kwa yote jamaa anachapa kazi yake vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mfahamu itakuwa, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom