Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe connection nami nifauduNilishawahi kutana na mdada mmoja telegram dau lako liko poa tu nikaenda kujilia mzigo sasa baada game napumziko story zake ni kuhusu usalama wa Taifa tu akiuliza ivi namjibu vile nikahisi tu uyu ni mwewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishawahi kutana na mdada mmoja telegram dau lako liko poa tu nikaenda kujilia mzigo sasa baada game napumziko story zake ni kuhusu usalama wa Taifa tu akiuliza ivi namjibu vile nikahisi tu uyu ni mwewe
Sent using Jamii Forums mobile app
they work by secret code mfumo wao hautofautian na tabia za mbwa mwitu. ndio maana ukikosea unaliwa na mlie kula nyama pamoja.Wanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!
Hawaaminiani, hawajuani kivile!
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp upande wa Mshiko..umenonaee..!!Jamanieee hao usalama ni watu wa kawaida tu (hususani hawa wa hapa kwetu)
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba wanafanya shughuli zao kwa SIRI. Hapo ndio nguvu yao ilipo.
Hata wewe ukiweka maisha yako PRIVATE watu watakuwa wanakuogopa kwa kuwa hawakujui vizuri.
Hata Secret Societies kama Illuminati, Freemasonry, Klu Kla Klux et al zinatumia USIRI kama mbinu mojawapo.
Sababu nyingine: Kwa kuwa CCM inawatumia sana, hivyo imewapa nguvu fulani ( kuwaweka juu ya sheria kwa raia ) kiasi kwamba hata akikuonea huwezi kumfanya chochote.
Suala la kutoaminiana ni kawaida tu kwenye mambo ya ulinzi na usalama, hata walinzi hawaaminiani.
Na kuhusu kutojuana ni kawaida pia, hata mwalimu hajuani na walimu wote nchi nzima unless mmekuwa assigned sehemu moja.
Wanaruhusiwa pia kuwa na vifaa/silaha ambazo wewe raia huruhusiwi kuwa nazo kitu kinachowapa nguvu dhidi ya raia!
Mambo mengine yote ni yale yale.
Wako mpaka masheikh hili la kutokufuga ndevu ni uongoHapo kwenye kufuga ndevu, si kweli kwamba hawafugi, wasiofuga ni wale wanaofahamika. Kila mtu ana purpose yake katika eneo husika kuna wengine ni wazugaji tu, wanakuwa na mwonekano usiokuwa wa kimaadili ya utumishi ili watu wasiwastukie. Hao ndio wakusanya taarifa wazuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwenye wilaya yako muone DSO au mkoani kwako muone RSO....Wanabodi ,weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!
Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wanausalama /TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!
Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!
Hawaaminiani, hawajuani kivile!
Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi na mimi ni TISS hizo tabia ulizoaninisha ni zangu, ahh nimekumbuka mimi sio TISS maana TISS hawajitajikweli mkuu hawaaminiani pia hawana tabia za kupokea simu hovyo yaani unaweza kupiga simu mpaka basi na isipokelewe pia. hawapendi kutembelewa
Bado wapo mpaka leo?Kuna watu wanajifanya wazee wa k nyama.kwenye vi grocery mtaani ukimzingua mtu kidoogo anakuuliza "hivi unanijua mm ni nani"
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna dogo mmoja aliyekuwa pemben ya jpm wakat akinywa kahawa kijiwen jana, kageuza shati hv, tafta hyo clip uiangalieHao TISS ni watu gani kwani ? Mbona mimi sijawahi fanikiwa kumfahamu hata mmoja ?
Yule si muuza kahawa ?kuna dogo mmoja aliyekuwa pemben ya jpm wakat akinywa kahawa kijiwen jana, kageuza shati hv, tafta hyo clip uiangalie
Sent using Jamii Forums mobile app
huenda umeongea kitu kiutani but unaelekea keep tryUndercover hata ID hatupewi.. ila tuliokuwa kwa mafunzo ya kuanza tunajuana ila hatujuani nani ni nani [emoji3][emoji3] Joowzey
Ni kweliii kbsa mkuu, Na awamu hii ya tano iliharibu Sana kipindi Cha Mchungaji Kapilimba hivi Sasa huyu Afande Diwani anahangaika tu kuweka vitu sawia japo mfumo ushaozaa kabisa!! Kule Jkt nakoenda kuchukua vijana wanafelii Sana Tena sanaaTISS imekuja kuharibiwa wakati wa Awamu ya 4. Ukabila na kujuana umeletwa na JK, watu walikuwa wanapewa kazi hata ambao hawana sifa. Baada ya JK kuona ameharibu hii idara ndipo akaanzisha kitengo ambacho alikuwa anawajua yeye tu labda na watu waliokuwa karibu nae ki protocol. Hapo ndipo TISS iligawanyika wakaanza kuogopana.
God save us