Ni kweli unaweza kumpata mwanamke wa ndoto zako kwenye klabu ya usiku? Nataka nijaribu bahati yangu leo

Sasa kama wewe viwanja vyako na hobbie zako ni clubbing kwanini utafute mtu kanisani ?!!!

Waswahili wa Pemba hujuana kwa Vilemba..., and more importantly relationship ni ngumu sana kuna mabonde na milima ya kutosha hivyo ni vema katika safari yenu angalau uwe na mtu ambaye mnaendana nae (a friend if you may)
 

Bora huko ndugu, hawa wa msikitini na makanisani wana tabia mbaya kuzidi hao!
 
Nakubaliana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…