Sio kweli bhana.. hagombei huo ubungeKuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Yaani umelishwa matango pori na huyo jamaa yako huko uliko, halafu unakuja kuyatapikia kama yalivyo humu jukwaani!! This is not fair at all.Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Kwani ulisikia alikuwa amependekezwa kuwa askofu na Vatican ikakataa? Mchakato wa uaskofu huwa ni mchakato wa muda mrefu sana na kama yuko earmarked siku moja atakuwa tu.Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Huna hujualo. Kiongozi wa kanisa katoliki (padre/askofu) haruhisiwi kugombea uongozi wa kisiasaKuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Kwan Methodius kilaini alitaka kugombea wap na kwa chama gani akanyimwa uaskofu mpaka wa leo?Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Don't show your ignorance!Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
hoja sio hiyo,hawezi kupewa uaskofu kwani amezaa na wanafunzi alipokuwa mkuu saut universityKuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Pia ipo ahadi ya kumpeleka kila mwana kawe Boston America, vipi yenyewe imetimiaš¤£Mbona Gwajiboy ni askofu halafu pia ni mbunge wa kawe halafu bado sisi vijana wa kawe hajatutekelezea ile ahadi ya kwenda kusoma samaki nje ya nchi[emoji3][emoji3]
Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app
Hivi unaona kuna mtu mwenye akili nzuri angetaka kuwa kwenye Bunge la sasa hivi ili iwe nini?Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Acha ujinga.Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Sii kweli, msikilize mwenyewe hapa, nilimuuliza kuhusu yeye na ChademaKuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake
Mkuu hiyo akili umeazima?Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake