Machawa mlivyokuwa wajinga, hata kutunga uongo hamjui. Hakuna anayejua jinsi Pope anavyoteua maaskofu kwani hata maaskofu katika nchi husika hushtukizwa, sasa huyo mmeo aliyekudokeza ni kiazi kama weweKuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema.
Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensiaM Kali sana duniani. Taarifa zinasema Padri Kitima alishinikiza Baraza la Maaskofu wasome waraka wake makanisani kote nchi nzima kwa lengo la kukijenga chama chake