Ni kweli wadada wa kazi wana madhaifu yao ila na maboss muwe na busara

Ni kweli wadada wa kazi wana madhaifu yao ila na maboss muwe na busara

royal tourtz

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
255
Reaction score
326
Leo nimetoka zangu kutafuta mkate wa kila siku maeneo ya kisesa, nikasema nishuke kwa rafiki yangu hapo kanyama huwa namuita kaka kwa jinsi tunavyoishi.

Nikamkuta shemeji kama kawaida tukasalimiana na kutaka kujua mtoto na dda wa kazi hali zao maana sikuwaona.

Kumbe ndio nawasha moto. Shem akaanza kuniambia dada wa kazi kaondoka mida ya saa kumi na mbili na mda huo ni saa moja na nusu na ameenda na mtoto na hajarudi na hajui yuko wapi, katika kuongea na shem akaniambiamengi mwisho akafikia kwenye hitimisho na kusema atampa mshahara wake ila atamkata nauli aliyomtumia kutoka kijijini na cheji inayobaki ni shilingi 2000, hivyo atampa 2000 na waachane kwa amani.

Nilichosema ,nilimwambia asimfukuze msiku maana anweza pata matatizo na akazua tatizo lingine.

KILICHONIFANYA NIANDIKE NI HIKI.

Nimewaza tu, huyu binti hajaja Mwanza kwa hiari yake. ni wao ndio walimuita aje awafanyie kazi na walimtoa kijijini huko Ghara. Sasa iweje wamkate nauli na wamuache mjini na shilingi 2000 ndio imrudishe au wanafikiri ataishije na kurudi kwao.

Huyo dada wa kazi kipindi wanamchukua hawakujua kama atakuwa na ndugu huku au lah! ili likitokea la kutokea wajue ana sehemu ya kukimbilia sasa kwanini wasimrudishe kwa gharama zao.

Hivi ikitokea huyo dada akapata mwalimu hivi hawezi kumshitaki boss wake na kumuweka kwenye wakati mgumu kisheria maana Mwanza sio kwao na kwa mujibu wa maelezo ya binti ni kwamba kunamtu ni jarani yao huko kijijini naye pia ni dada wa kazi ndio anyemfahamu.

NB nimeshidwa kumwambia yote haya maana nilijua asingenielewa kwa vile alikuwa amekasilika sana nikaona nikae kimya na kweli kwenye saa mbili kasoro dada wa kazi alikuja na mtoto na kweli shem akamwambia jiandae kesho uondoke nakata nauli yako na hapa utakuwa na cheji ya 2000.
 
Watetezi wa dada wa kazi saa nyingine mna kaupuuzi. Hubu fikiria huyo dada kaenda kunyanduliwa na mtoto pembeni maana haiwezekani muda wote huo akawa kakwama sokoni mpo hapa kuwaza pesa mbona wake zenu wakiwapiga matukio mpo mstari wa mbele kushangalia wakomeshwe.

Dada wa kazi nae mtu ila akifanya makosa akomeshwe. Wengine wanafanya makusudi tu ili aondolewe aende kwa bwana ake hapo hapo mtaani au kapata kazi kwengine

Kuwa dada wa kazi sio kigezo cha kuonekana saint,muuoneeni huruma huyo mtoto na mibemendo anayoipata huko kwenye misele ya dada wa kazi
 
Watetezi wa dada wa kazi saa nyingine mna kaupuuzi. Hubu fikiria huyo dada kaenda kunyanduliwa na mtoto pembeni maana haiwezekani muda wote huo akawa kakwama sokoni mpo hapa kuwaza pesa mbona wake zenu wakiwapiga matukio mpo mstari wa mbele kishangalia wakomeshwe.

Dada wa kazi nae mtu ila akifanya makosa akomeshwe. Wengine wanafanya makusudi tu ili aondolewe aende kwa bwana ake hapo hapo mtaani au kapata kazi kwengine

Kuwa dada wa kazi sio kigezo cha kuonekana saint,muuoneeni huruma huyo mtoto na mibemendo anayoipata huko kwenye misele ya dada wa kazi
Kwani wewe ulivyokua katika umri wake ulikua haujaanza kuliwa?


Na wenyewe ni binadamu kama nyinyi na wana nyege pia, anaenda kumbemenda mwanao maana humpi nafasi ya kwenda kuliwa, mpe nafasi uone kama atambeme da mwanao...kama umesahau haki za ma-house girl hasa hasa kuliwa, refer hotuba ya raisi Samia siku ya mei mosi.
 
Hadi muda huu bado sijaliwa. Kama wewe uliliwa kipindi cha umri wake endelea kumtetea mwenzio

Wabongo mnawaza ngono tu daily ndo maana mnaongoza kunyewa mdomoni kule dubai,wenzenu wanatafuta pesa kwanza kisha starehe muda wake.

Mtu mwenye akili timamu maskini asiye na uwezo wa kujilisha hawezi kufa kwa nyege kisa kavumilia kwa miezi sita akichapa kazi kutafuta pesa

Single mothers wengi ni mahausigel mnawaongezea mizigo wasiyoiweza kisa wana haki ya kuliwa wakati hata uzazi wa mpango elimu hawana. Wanapewa mimba na kutoswa matokeo yake kujaza watoto wa mitaani.
Kwani wewe ulivyokua katika umri wake ulikua haujaanza kuliwa?


Na wenyewe ni binadamu kama nyinyi na wana nyege pia, anaenda kumbemenda mwanao maana humpi nafasi ya kwenda kuliwa, mpe nafasi uone kama atambeme da mwanao...kama umesahau haki za ma-house girl hasa hasa kuliwa, refer hotuba ya raisi Samia siku ya mei mosi.
 
Watetezi wa dada wa kazi saa nyingine mna kaupuuzi. Hubu fikiriana wewe pi huyo dada kaenda kunyanduliwa na mtoto pembeni maana haiwezekani muda wote huo akawa kakwama sokoni mpo hapa kuwaza pesa mbona wake zenu wakiwapiga matukio mpo mstari wa mbele kushangalia wakomeshwe.

Dada wa kazi nae mtu ila akifanya makosa akomeshwe. Wengine wanafanya makusudi tu ili aondolewe aende kwa bwana ake hapo hapo mtaani au kapata kazi kwengine

Kuwa dada wa kazi sio kigezo cha kuonekana saint,muuoneeni huruma huyo mtoto na mibemendo anayoipata huko kwenye misele ya dada wa kazi
Hatumtetei beki tatu kwa makosa yake ila pointi yangu ni kwamba, wewe ndio ulimuomba kijijini kwa kumtafuta na kumtumia nauli ili aje kukufanyia kazi, sasa imetokea mmekosana kama hivyo.

Kwanini umkate mshahara kwa kisingizio cha nauli uliyomtumia,then umpe 2000 cheji yake na umwambie neda unakojua hali hapa mjini hana ndugu. na kurudi kwao ni gharama kama 28000tsh. piga hesabu kutoka mwanza kisesa hadi ghara ni sh.ngapi. bado hajala.

suala la yeye kwenda kuliwa au hajaliwa hilo ni la mtu binafsi na kuchelewa kurudi sio sababu ya yeye kuwa alikuwa kwa mwanaume.

lakini unaweza kuwa na mwanaume hali hawezi kuwa na wewe mda huo.... hoja yangu ni kwamba kama umeshindana fanya umrudishe ulikomtoa bila makato ya nauli yake...

sasa nimeamini kumbe sio kila dada poa anajitakia wengi ni mazingira yanawabana
 
Huyo mdada wa kazi nae kwa nini asitulie...
 
Tatizo wengi wanaajiri wadada wa kazi ambao hawajapevuka kiakili bado,tafuta daa wa kazi mtu mzima hata wa miaka 24 au 25 hivi.Mama mzazi alikuwa anatafuta mdada wa kazi mtu mzima kabisa
 
Kuna watu wanamoyo wa kunguni nimefikria tu

Kuna siku nilikuwa ugenini nililala kwenye chumba cha wakushi aisee kulikuwa na kunguni wanatwanga ni balaa nikalala chini ilipofika asubuhi nikajilaza kitandani ili wenyeji wasistukie

Kuna watu wanamoyo kama huyo mdudu

Shida zipo ila panapo takiwa kufanya kwa utu jaza upendo kwenye moyo wako
 
Bosses wanakwama mahali mnooo, wengi ni wanoko na gubu hatareee, sasa mtu umemshindwa mrudishe kwao kwa amani na utulivu,
Afu watoto wenu wakiuliwa muanze kulia hadi kamasi puani, kumbe mnayataka wenyewe.
 
1. Jamaa amenyimwa mbususu sasa anaona wivu akiona beki 3 anakawia kurudi anajenga picha kuwa kaenda kuliwa

2. Huyo binti amepata boss mwingine kampandia dau ndo maana kaanza vitimbi
 
We nadhani hujui vitimbi vya wadada wa kazi. Afu nyakati zingine usione anaonewa ile ni ajira kama ilivyo kua ajira nyingine, mfano ukiwa kazini umafanya upotevu wa kitu lazima uwajibishwe kwa kulipa au kuachishwa kazi, na nyakati nyingine hata ukitaka kuacha kazi ghafla utalazimika kumlipa muajiri wako salary nzima ya mwezi huo ndipo uache. Je na waajiriwa ktk sekta rasmi walalamike kua wanaonewa?
Kwa upande wa huyo binti nyakati zingine wanakera hata kufanya maamuzi sahihi unashindwa, fikiria unamtoa mdada toka mwanza aje dar , anafanya ujinga ndani ya mwezi kisha anakuambia anataka kwenda kwao, wewe hadi umemfikisha hapa umetumia elfu 90 ndani ya mwez aseme aondoke unadhani nafsi yako itakua ma utullivu ktk kufanya maamuzi?
 
Hoja yako haina mashiko ulitakiwa umchane shemeji yako pale pale kabla ya kuja kulalamika humu,wewe na shem wako wote wale wale.

Wadada wa kazi wengine wanajitafutia tu matatizo hapo ukute hana hata mwezi keshaanza vituko ni hasara kutoa nauli mara mbili,wewe mwenyewe unashuhudia hapa kwamba kuna umbali mrefu.Hio 2000 itatosha kununua vocha aombe nauli kwa ndugu zake maana kakosa adabu kumuweka kwenye hatari mtoto mpaka usiku.

Mshauri shem wako next time atafute binti anayejielewa,wapangiane kabisa miezi ya kufanya kazi na ya mapumziko kwao ili akaliwe vizuri.

Kuna wadada wa kazi wanaojielewa sana anachapa kazi kwanza kuliwa baadae. mtu unatumwa sokoni saa tisa unarudi saa kumi na mbili lazima uhisiwe vibaya. Heshima muhimu mkuu. Akifanyiwa hivyo siku nyingine hatarudia hako ka mchezo
Hatumtetei beki tatu kwa makosa yake ila pointi yangu ni kwamba, wewe ndio ulimuomba kijijini kwa kumtafuta na kumtumia nauli ili aje kukufanyia kazi, sasa imetokea mmekosana kama hivyo.

Kwanini umkate mshahara kwa kisingizio cha nauli uliyomtumia,then umpe 2000 cheji yake na umwambie neda unakojua hali hapa mjini hana ndugu. na kurudi kwao ni gharama kama 28000tsh. piga hesabu kutoka mwanza kisesa hadi ghara ni sh.ngapi. bado hajala.

suala la yeye kwenda kuliwa au hajaliwa hilo ni la mtu binafsi na kuchelewa kurudi sio sababu ya yeye kuwa alikuwa kwa mwanaume.

lakini unaweza kuwa na mwanaume hali hawezi kuwa na wewe mda huo.... hoja yangu ni kwamba kama umeshindana fanya umrudishe ulikomtoa bila makato ya nauli yake...

sasa nimeamini kumbe sio kila dada poa anajitakia wengi ni mazingira yanawabana
 
Mahouse girl siku zote wanagombana na wanawake ndani ya nyumba.

House girls wanaotulia nyumbn ni wale ambao baba wenye nyumba wanawasaidia.

Emergine mtoto anakuja kwangu ana miaka 9 akifikisha 14 wanaume na vibodaboda huanza kuleta samaki. Mamaaae, chuchu naziiona kabisa zinaanza mpaka zinaiva.

Baadae anaanza kunusa boxer zako, si anataka bakora huyo, halafu etu umuache tu pumbavuuuu
 
Watetezi wa dada wa kazi saa nyingine mna kaupuuzi. Hubu fikiria huyo dada kaenda kunyanduliwa na mtoto pembeni maana haiwezekani muda wote huo akawa kakwama sokoni mpo hapa kuwaza pesa mbona wake zenu wakiwapiga matukio mpo mstari wa mbele kushangalia wakomeshwe.

Dada wa kazi nae mtu ila akifanya makosa akomeshwe. Wengine wanafanya makusudi tu ili aondolewe aende kwa bwana ake hapo hapo mtaani au kapata kazi kwengine

Kuwa dada wa kazi sio kigezo cha kuonekana saint,muuoneeni huruma huyo mtoto na mibemendo anayoipata huko kwenye misele ya dada wa kazi
Nimesoma chote ulichoandika nakuomba tu Mkuu usithubutu kuwa na dada wa kazi
 
Back
Top Bottom