Kwa Africa dada wa kazi ni sawa na mtumwa, Ila chakushangaza kwa mfano tu huu uzi ungelikua unazungumzia kuhusu wafanyakazi Uarabuni ungeona comment zingelijaa kede na ghazabu kabisa.
TZ mfanyakazi wa ndani wanalipwa mpaka elfu 15 kwa mwezi, Nahizo usikue hapewi mara anaambiwa anakamatiwa.
HAna uhuru wa kufanya yake binfasi hata kwa dakika 10, Kwa kifupi yupo kazini 24 hrs kila siku.
TZ mfanyakazi wa ndani wanalipwa mpaka elfu 15 kwa mwezi, Nahizo usikue hapewi mara anaambiwa anakamatiwa.
HAna uhuru wa kufanya yake binfasi hata kwa dakika 10, Kwa kifupi yupo kazini 24 hrs kila siku.