Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Naungana na kauli ya Lissu kuwa wagombea urais kwa bara ni Lissu na Jiwe tu!
Sasa hawa wengine wanasubiri nini au ndo sub za CCM?
Mzee wa niguse ninuke daaah! Au ndo yale nguvu ya mamba ni ndani ya maji?
Mzee wa mdomo wazi kama fisi anahema kama mamba aliyeachwa mchangani na jua linamparama. Propesa huyu simsikii kabisa na ghiliba zake.
Sasa hawa wengine wanasubiri nini au ndo sub za CCM?
Mzee wa niguse ninuke daaah! Au ndo yale nguvu ya mamba ni ndani ya maji?
Mzee wa mdomo wazi kama fisi anahema kama mamba aliyeachwa mchangani na jua linamparama. Propesa huyu simsikii kabisa na ghiliba zake.