Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Usiku mwema jirani👋Ule uchochoro hua unakulegeza sana, na unavyoupenda mwenyewe sasa jirani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku mwema jirani👋Ule uchochoro hua unakulegeza sana, na unavyoupenda mwenyewe sasa jirani...
Jirani saa tatu ndiyo mida yetu ya kulala jirani...Usiku mwema jirani👋
Unajua kwann najisikia kulala mapema jirani yangu....wewe pekee ndo wajua.Plz naomba nipumzishe hili fuvu🤦Jirani saa tatu ndiyo mida yetu ya kulala jirani...
Masikini ndiyo hupumzisha mafuvu, vichwa wanavyo matajiri jirani...Unajua kwann najisikia kulala mapema jirani yangu....wewe pekee ndo wajua.Plz naomba nipumzishe hili fuvu🤦
Yeah,ndo maana nimesema fuvu jirani.Kuwa maskini si tusi bali ni Hali TU🤜Masikini ndiyo hupumzisha mafuvu, vichwa wanavyo matajiri jirani...
Njoo ulipumzishe kwangu,,,Yeah,ndo maana nimesema fuvu jirani.Kuwa maskini si tusi bali ni Hali TU🤜
SawaNjoo ulipumzishe kwangu,,,
Zigo la kuvunja chaga 😁
🤣Mpaka taiti imegoma kusettle mahali pake,imekuwa kata K🤣🤣🤣🙌Zigo la kuvunja chaga 😁
Naona wakwe wanashangaa 😂😂😂 na hiyo crop top basi balaa tupu🤣Mpaka taiti imegoma kusettle mahali pake,imekuwa kata K🤣🤣🤣🙌
🤣🤣🤣Wakwe wapo slim kama ufitoNaona wakwe wanashangaa 😂😂😂 na hiyo crop top basi balaa tupu
Hatar mno 😂🤣🤣🤣Wakwe wapo slim kama ufito
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hii kauli utakuwa umepigwa passNi wanaume au ni wavulana?