White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
Nimekutana na mtu akatoa hii hoja binafsi niliipinga lakini alitumia nguvu kubwa na mifano ya watu wetu wa karibu kushinikiza hoja yake, je ana hoja au apuuzwe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni warembo sana ila U.T.I sugu, na Ukimwi hukosi ukiruka nao kwanzia watano wawili lazima wawe na ivo tajwaNimekutana na mtu akatoa hii hoja binafsi niliipinga lakini alitumia nguvu kubwa na mifano ya watu wetu wa karibu kushinikiza hoja yake, je ana hoja au apuuzwe??
Duh sio poaNi warembo sana ila U.T.I sugu, na Ukimwi hukosi ukiruka nao kwanzia watano wawili lazima wawe na ivo tajwa
Nakubaliana na wewe hata mimi hiyo hoja niliitoa akaipinga, akasema eti kuna evolution imetoaHuyo atakuwa ana matatizo ya kiakili!
Kwa akili ya kawaida tu,kama hao unaowaita watoto wa 2000 ni wazuri,Je mama zao wao wakoje?,ili mtoto wa kike awe mzuri mara nyingi hutegemea na mama yake alikuwaje ujanani kwake!
Hivyo wanawake wa zama zetu 80s to 90s ni wazuri sana kuliko Hawa watoto wa juzi!
Wazee wakongwe watakuja kuthibitishauzuri wa artificial - kujifanya weupe, singa za Brazil lakini kazi hawawezi.
Sio Waziri, ni watamuNimekutana na mtu akatoa hii hoja binafsi niliipinga lakini alitumia nguvu kubwa na mifano ya watu wetu wa karibu kushinikiza hoja yake, je ana hoja au apuuzwe??