Ni kweli wanawake wenye jinsia mbili wapo?

Ni kweli wanawake wenye jinsia mbili wapo?

Ai
Aise umemaliza kila kitu hayo mengi ni mashoga tu shenzii zao, yaan unakuta mtu una opoa demu bonge la pis unaingia ndani lina force uzime taa eti linaona aibu kumbe linataka kukupa mix by yas, ukizima taa unapapasa tu unakuta mtalimbo huo ponapona yako ni kutoka mbio tu kulinda usalama wako wa back.
Thailand ndio sio poa, wamejazana hadi wanahudhuria mashindano ya umiss. Kujichanganya ni kugusa tu huko
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
kuna shemales ambao ni wanaume wamejibadilisha kuwa wa kike

halafu kuna hefemale ambao ni ke wanajiweka kiume

kisha kuna wale wanazaliwa na nyeti zote mbili, wale ni intersex. intersex ni kundi kubwa lakini, lina watu tofauti,
mfano kuna hawa guevedoces, ni ke wanaopata nyeti za kiume wafikishapo umri wa 12 kwasababu ya changamoto za hormone
Hao wa natural ni very rare issue.

Mfano kuna jamaa aliwahi hojiwa bbc, yeye anazo mbili, ila moja inakuaga suppressed automatically. Yeye ni mwafrika ila kwa nje ni njemba kabisa lkn ana mashine na kyuma, kyuma ipo suppressed ila reproduction system ni ya kiume.

Na hizo ni rare cases, nyingi ni man made kama hawa kina boby risky au yule ex wa mbappe
 
Hizi stori tumezisikia sana tangu utotoni kuwa kuna watu wana jinsia mbili. Wanasema hata jela itabidi ziwe na solo za watu wa aina hiyo, inaitwa transgender. Jela itabidi ukaguliwe kibabe kujua kama una mbili au moja ili usiwekwe kwenye kundi ambalo utafungiwa na watu ikaishia kupeleka moto au kupelekewa moto kama vitendo hivyo vitafanyika kwa siri japo haviruhusiwi ni kosa
Hao transgender sio wanawake ni wanaume wamejibadilisha kwa homoni
 
Hizo story huwaga ni kweli au ni uzushi tu? Kuna story zimezagaa huku Sinza kuna mdada anaitwa Mina wanasema ana jinsia mbili na zote zinafanya kazi.

Je jambo hili linawezekana kisayansi?
Hebu test mitambo ulete mrejesho
 
Mina ni shemale.

Shemale anakua ni mwanaume kwa kuzaliwa ila akikua anajibadili muonekano anakua na mwonekano wa kike. Wanakunywa hormones za kike na dawa za kukuza matiti, kwa nje unaona ni pisi ila ni dume kwa ndani.

Shemale wengine ndio wanaenda mbali zaidi hadi kunyofoa uboo na kuweka K. Hapo anakua CIS woman sio tena shemale.

Huyo mina ni kama bob risky tu, anafirimbika maana hana kyuma so unapita rough road, ila ukiwa legelege anakuchokoza anakukula zam zam.
Kumbe anajiuza?
 
Achana na wenye mbili kuna ambao hawana hata moja ila kwa sura na umbo ni mwanamke tena ana matiti ila hana kituz
 
Hao wanaosemwasemwa wana mbili mara nyingi ni wanawake na si wanaume. Ukichimba sana utaambiwa ya kiume ni dhaifu haifanyi kazi, inayofanya kazi ni ya kike
 
Ai
Aise umemaliza kila kitu hayo mengi ni mashoga tu shenzii zao, yaan unakuta mtu una opoa demu bonge la pis unaingia ndani lina force uzime taa eti linaona aibu kumbe linataka kukupa mix by yas, ukizima taa unapapasa tu unakuta mtalimbo huo ponapona yako ni kutoka mbio tu kulinda usalama wako wa back.
Aiseee🤣🤣🤣🤣
 
Hizo story huwaga ni kweli au ni uzushi tu? Kuna story zimezagaa huku Sinza kuna mdada anaitwa Mina wanasema ana jinsia mbili na zote zinafanya kazi.

Je jambo hili linawezekana kisayansi?
Hilo ni jina lake halisi? Kama ndilo huo ni unyanyapaa na unahitaji ushahidi wa hilo usemalo.
 
Back
Top Bottom