Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,008
WastaraSorry mkuu, hawa watoto mie siwafuatiliagi sana wananichanganya. Nafkir Mods wabadilishe tu jina likae sawa. Sasa usahihi wa jina la huyu anaeumwa mguu sjui ni upi mkuu, ni Kajara au Wastara?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani wewe haki nmechekaaa
hahaaaa wenge tena lile LA kuku baada ya kumuona mweweComparison ya akili na cheo ni tofauti sanaaaa
That's is how wadada wa Dar wanapata grisi.......
Bongo muvi,bongo wenge/
Mkulu na washauli wake wapigwa wenge/
Hilo ndio dadaz genge/
Pole wastara
hahaaa rais sialijipendekeza mwenyewe kwani alitumwa atoe Pesa ..daahh hahaaaMpigaji pia hupigwa ktk 18 za wajanja wake.
Nenda hospitali kaangalie wagonjwa wote waliowekewa hizo cannula zimewekwaje?Naogopa kuwa mfuata mkumbo kwa kwa hili ..
Maana nchi hii sasa wote Nyumbu. Akicheua Mange tu...tweenndeee...
hahaa wastara kweli nyoko ..amemtapeli mpka raisi...wampe tu kitengo pale TISS anafaa kuwa usalama aisee hahaaMkui Drip huwa HAIWEKWIIII HIVYOOO MAHALI POPOTE DUNIANI...!! Sasa ukiweka hiyo cannula kuelekea kwenye vidolee ina maana dawaa iende kwenye Vidole na kucha au???
Duh!!! Basi kazi ipoSheraton ya Dubai,. 100pec alishuka kula bata Dubai Kwa bahat mbaya akakutana Na wabongo wanaomjua ikabidi aue soo kabla hawajamuumbua
sema kuwa viongozi wako ndio elimu zao bure kabisa..mtu Mwenye PHD KAPIGWA NA. FORM 4 HUKO THEN HAUSHANGAI... HAHAAA...Tatizo la wabongo movie shule ndogo ndo maana ma movie yao ni kitoto toto yaani ujinga ujinga mwingi hawako serious na kazi kabisa.
sema kuwa viongozi wako ndio elimu zao bure kabisa..mtu Mwenye PHD KAPIGWA NA. FORM 4 HUKO THEN HAUSHANGAI... HAHAAA...Tatizo la wabongo movie shule ndogo ndo maana ma movie yao ni kitoto toto yaani ujinga ujinga mwingi hawako serious na kazi kabisa.
Lazima wapigweSasa kama prezidaa mshauri Mkuu bashite unategemea nini