Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Mnaacha kushupalia kuporomoka kwa elimu nchini na upatikanaji wa ajiraza uhakika zenye mikataba,mnakazi ya kufatilia visivyokuwa na maana.ndio maana tunatukanwa daily na wazungu. [HASHTAG]#Tubadilike[/HASHTAG] watanzania#
Lazima tufuatilie tujue kama tumetapeliwa, tukomeshe utapeli
 
apige picha kwenye bango la hospitali ili watu waendelee na shughuli zingine. ebo
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] mkuu umetapeliwa vingapi mpk uanze na hili kukomesha??
Kwani mauaji, wizi, ubakaji, ufisadi nk tunavyopigana kuvikomesha vimeanza leo au jana?

Kuna uhalali gani wa kutapeliwa kwangu kuwa kinga ya utapeli mwingine ujao?
 
Mchango wa rais ni kodi zetu
una umwa wewe... ila tofauti wewe una tembea wengine wapo kitandani...

[HASHTAG]#kama[/HASHTAG] ile pesa ime toka katika kodi ya wananchi basi ule ni msaada kutoka kwa watanzania sio Rais...!
 
Aliona watu wamemshtukia akaona akimbie kwenda India kuondoa aibu na kuogopa watu wacje dai lisiti ya michango yao
yupo hospt gani? agha khan na ocean road pia nazani kuna wahindi... wahindi wameenea duniani pia...
 
Hata mia hujatoa kazi lawama tu...inabidi tubadilike haya mambo y kulaumu hayana tija yyte
 
Tatizo baindamu ni wabishi sana...

Bado watasema hiyo ni Photoshop... Mbona kidevu kina ndevu...


Cc: mahondaw
 
Watanzania bhana, akili zetu basi tu

Tumejaa Umbea, Fitina, Wivu, Uongo na Uzandiki
Alafu sijui kinatokea nini... Kila mtu saivi amekuwa na tabia hizo.. Si msomi wala wafoo..

Nafikiri njaa imekuwa kali mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…