Lilobhalilaza
New Member
- Jul 12, 2017
- 3
- 2
Hafikirii huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ausio... So kama ni artery means dawa inaenda mahali flanii hairudi tena kwenye moyo ianze kusambaa... Hapo inaelekea kwenye kuchaa na vidolee so unataka niamini mkono ndo una tatizo??Kuna baadhi ya dawa huwa zinakuwa injected kwenye artery so huo uelekeo wa cannula ni uelekeo wa arteries! Hii msimhukum moja kwa moja kuwa uelekeo wa cannula umeenda upande tofauti!
Mengine muwe mnaelewa tu;
Hivi kweli mguu huna akili itakuwa sawa kweli?
Hizo sindano hazina drip bado;
ni kama yuko kwenye maandalizi ya kuwekewa drip;
All in all tujuwe tu kuwa anaumwa;
hata kama kaenda kwa witch doctor siye
hayatusumbui sana;
Wanajifanya born town kumbe ni bushmen,ila kwenye kupigwa hakuna mjanja.Ndo zao wasukuma kutapeliwa si ndo washamba nambari wani njini
Hapaswi kuchanganya siasa na biasharaImeandikwa wapi!?..Hana biashara?.. alikua omba omba kabla ya kuwa raisi?..
Siasa ni biashara pia.Hapaswi kuchanganya siasa na biashara
ID yako inatisha!! [emoji26]Wastara anatakiwa afike mahali aache kujianika mitandaoni ili kupata huruma ya watu
Anatakiwa atulie tu vinginevyo sizonje atakuja kumdai hela yake maana yule mzee namjua kama nimemzaa mimi vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
In mange voice[emoji38][emoji38][emoji38]
Kweli Falme ngumu hudondoshwa kilahisi na mwanamke , wastara kamtapeli raisi anaye bana matumizi na kuzuiya safali za nje , Teena kilahis tuHivi kama ni kweli yule dada anatufanyia movie anatoa wapi moyo wa ujasiri kiasi hichi? Yani anatufanya sisi kama watoto wadogo.
Watu wanachanga pesa yeye sijui anaenda kufanya nini huko nje ya nchi. Kujidai yupo hospitali anapiga picha kumbe hata Cannula kakosea kuwekwa.
Technology inamuumbua anaanza kufuta picha alizopost. Huyu dada kuna shida mahali. Kama ni kweli Mungu amsamehe zaidi apone matatizo yake.
![]()
Haimaanishi kwamba wasukuma hamna mazuri,kama wasukuma ndio washamba basi ushamba wao wanaendesha nchi na wewe mjanja umenyooka na bado mshamba ataendelea kukuongoza huyo huyo msukuma ndio mkuu wako wa mkoa anaemsaidia baba yako kadhulumiwa ardhi huyo huyo unamwita mshamba kakuletea meli na madaktari wajomba zako wote wameenda kuchekiwa na kutibiwa wewe ndio mjaja kukaa kwenye kahawa
Kuna baadhi ya dawa huwa zinakuwa injected kwenye artery so huo uelekeo wa cannula ni uelekeo wa arteries! Hii msimhukum moja kwa moja kuwa uelekeo wa cannula umeenda upande tofauti!
Yaah ndo wenye shidaa...!!Siwezi kuamini kama anadanganya.ila nilipenda kujua ule mguu uliokatwa ndio wenye shida tena?
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app