Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za biashara hazitambuliki, mtumishi yeyote kipato chake ni mshahara ambao ni kodi zetuImeandikwa wapi!?..Hana biashara?.. alikua omba omba kabla ya kuwa raisi?..
Sasa unaungana na mimi halafu unaniita mgonjwauna umwa wewe... ila tofauti wewe una tembea wengine wapo kitandani...
[HASHTAG]#kama[/HASHTAG] ile pesa ime toka katika kodi ya wananchi basi ule ni msaada kutoka kwa watanzania sio Rais...!
Sasa unaungana na mimi halafu unaniita mgonjwauna umwa wewe... ila tofauti wewe una tembea wengine wapo kitandani...
[HASHTAG]#kama[/HASHTAG] ile pesa ime toka katika kodi ya wananchi basi ule ni msaada kutoka kwa watanzania sio Rais...!
Kwamba?mshahara ni nini? kodi ni nini?
nani anatakiwa kulipa kodi? nani hastahili kulipa kodi?
NB:
Yawezekana nawe ni miongoni mwao wano semwa na wastara...
Naona unajitahidi kulazimisha fikra zako ndio ziwe ukweliRais katoa pesa yake aliyoivujia jasho na sio kodi yako
Mia yangu iko kwenye mshahara wa raisHata mia hujatoa kazi lawama tu...inabidi tubadilike haya mambo y kulaumu hayana tija yyte
Tuna pesa zetu palewatu watulie basi kama kadanganya au hajadanganya atajua mwenyewe
Unyanyukaji wa kiuchumi kitapeli utapingwa tuKabisa mkuu, tunaombeana mabaya tu.
Ukiona mwenzetu ananyanyuka hata kiuchumi au mafanikio yanamjia tunaanza kumjungua
Azimio la Arusha lilivunjwa na Mwinyi!..Habari za biashara hazitambuliki, mtumishi yeyote kipato chake ni mshahara ambao ni kodi zetu
Ukubwa wa kichwa sio wingi wa akili[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]hahaaa sasa anamdanganya nani kwa mfano daaahh
hiyo mbona ni issue ndogo tu watu wanaweza kutrace namba zake za Simu kisha zikaonyesha mahala alipo ..hebu aache kutaka kujifnya anajua sana mbele ya watu wenye akili kubwa ataumbuka zaidi..
ila mkubali mkatae sizonje ni jipu ..hamna kitu mule kichwa chake ni empty set ..yaani mtu Mwenye PhD watapeliwa na bongo movie manina wallai ..wakati unamkomo mrefu mnoo.alipaswa kuwatumia madoctr ambao wanafnya kazi usalama waende kumuhoji muhusika kuhusu ugonjwa wake ..kisha baada ya kurifhishwa na majibu ndio watoe hzo Pesa..
hahaaaa hawaviongoz wanaotuongoza sijui watatufikisha wapi aiseee
teheee kumbeUkubwa wa kichwa sio wingi wa akili[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hapo kuna nini, tunaomba maelelezo.
Umeangalia vizuri uelekeo wa cannula?Mshipa umepatikana hapo na dokita katumia uzoefu wake kufanikisha dawa iingie , mi naona IPO sawa wana JF tulizeni jaziba mtoto Wastara anaumwa muombeeni apone mapema.
Umeangalia vizuri uelekeo wa cannula?