Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Bado nalinganisha rangi ya nesi huyu na yule wa mwanzoWadau wa Jamii Forums siku mbili zilizopita pamekuwa na habari zikieleza kwamba huenda Wastara hajaenda India kutokana na utata katika picha alizokuwa anatuma.
Hizi hapa ni picha zinazoonyesha yuko India akiendelea na matibabu.
Ukweli ni upi?View attachment 693945