Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Wadau wa Jamii Forums siku mbili zilizopita pamekuwa na habari zikieleza kwamba huenda Wastara hajaenda India kutokana na utata katika picha alizokuwa anatuma.

Hizi hapa ni picha zinazoonyesha yuko India akiendelea na matibabu.

Ukweli ni upi?View attachment 693945
Bado nalinganisha rangi ya nesi huyu na yule wa mwanzo
69a5144e82be5ffddaa63dcb7524b369.jpg
 
Kuna mtu alimpa ushauri kwamba bora ungekuja hapa Mbagala tukaingia room nikakuwekea cannula ukapiga picha ukapost kuliko kujicost kwenda India still unafake ..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watanzania kwa kulialia hawajambo. Mtu alikuwa msanii alikuwa anapata kipato. Hakuwekeza akiba au alikuwa anakula na kusaza.
Kuna watu wako vijijini hawajawahi kushika elfu 10 wengine wamekatwa miguu miwili. Bado wanapambana na hali zao. Hawalii mitandaoni. Kujulikana isiwe sababu ya kuomba omba
Daah... Ukweli mchunguuu
 
Labda dawa inashuka kwenda vidoleni ili ikate kona kwa urahisi kufika kwenye ule mguu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mtu alimpa ushauri kwamba bora ungekuja hapa Mbagala tukaingia room nikakuwekea cannula ukapiga picha ukapost kuliko kujicost kwenda India still unafake ..[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu tena kuna wahindi kibao mbagala unawavalisha koti la muuza bucha ya nyama tu mapicha picha ya kumwaga insta mambo yanakwenda. Amesumbuka bure na cannula za elekeo usiotazamika. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
kitu kilicho nifanya nianze kuamini ana fanya usanii ni baada ya kufuta picha
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu tena kuna wahindi kibao mbagala unawavalisha koti la muuza bucha ya nyama tu mapicha picha ya kumwaga insta mambo yanakwenda. Amesumbuka bure na cannula za elekeo usiotazamika. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kwanza mama ntilie siku hizi wanavaa white coat
Wataalamu tunaiita clinical coat [emoji23][emoji23]
 
Ni kwanini ofisi ya rais isingetoa muwakilishi kwenda kwenye matibabu yake? Maana hizi rumors za kufake ugonjwa zilianza mapema
 
Wastara anatakiwa afike mahali aache kujianika mitandaoni ili kupata huruma ya watu

Anatakiwa atulie tu vinginevyo sizonje atakuja kumdai hela yake maana yule mzee namjua kama nimemzaa mimi vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

In mange voice[emoji38][emoji38][emoji38]
Atapaje kiki?
 
Back
Top Bottom