Atapataje kiki?
Khaaa we baba weee!!!usiwe unatafsiri lugha kama huielewia
Yanii mzee alizanii dudud..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji23]
Google mbombo nunu uelewe maana yake, sio kukurupuka kama umebanwa Na ushuzi
Hahaha labda hiyo mbombo ilimchanganyaYanii mzee alizanii dudud..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji23]
Sasa ulielewaje?Kwani si kasema mbomboo ngafu
Bongo movie nawakubali sana kuna moja Dereva kapigwa risasi ya kichwa akiwa kwenye mwendo wa kasi, akapaki gari vizuri ndio akafaKama washaonyesha nazi inadondoka chini ya mwembe unategemea nini?