Ni kweli Wastara anatudanganya kuwa yupo hospitalini India?

Huyu mwanamke kila ninapomuona kwny picha huwa anakuwa analia, Ana matatizo gani? Hivi yy Ndio wa kwanza kupata Ajali na kuumia?

Huwa analilia nn haswa?
 
Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.

Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?

Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
 
Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.

Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?

Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
Hiyo canulla imegeuzwa toka lini dawa inatiririka kwenda kwenye vidole???pole kwa kuumwa kwake bt ka hizo hela anafanyia mambo mengne na sio kutibiwa basi asidanganye uma na ndio maana watu wanakasirika
 
Bisheni ambao hamjawahi ugua au kuuguza. Kupata mshipa wa kupitisha drip siyo kitu cha utani.

Ni kwanini ugonjwa wa wastara unawaumiza vichwa?

Tamani mungu afanye miugiza ili mmpokee huo ugonjwa.
Mkui Drip huwa HAIWEKWIIII HIVYOOO MAHALI POPOTE DUNIANI...!! Sasa ukiweka hiyo cannula kuelekea kwenye vidolee ina maana dawaa iende kwenye Vidole na kucha au???
 
Hiyo canulla imegeuzwa toka lini dawa inatiririka kwenda kwenye vidole???pole kwa kuumwa kwake bt ka hizo hela anafanyia mambo mengne na sio kutibiwa basi asidanganye uma na ndio maana watu wanakasirika
Anazinguaa sanaa...alafu zile pichaa akafutaa baada ya Mange kumchambaa na kumwambia ukweli... Wastara anaweza kuigiza Kifo aiseee nimekubali
 
Mie hata sielewi,
Sijawahi kuumwa nikawekewa hiyo cannula
Hivyo najaribu kuangalia sioni tatizo
Anagalia ya wastara ilipogeukia... Alafu angalia zingine zotee zilipogeukiaa!!! Kwa hiyo wastar hapaa katuibiaa hakuna cannula inwekwa ielekee kwenye vidolee
 
Anagalia ya wastara ilipogeukia... Alafu angalia zingine zotee zilipogeukiaa!!! Kwa hiyo wastar hapaa katuibiaa hakuna cannula inwekwa ielekee kwenye vidolee
Hahhaa kweli dada bongo movie
 
Halafu atasababisha wengine washindwe pata msaada sabb yake!

Shauri yake mama cannula!
 
Huyu mwanamke kila ninapomuona kwny picha huwa anakuwa analia, Ana matatizo gani? Hivi yy Ndio wa kwanza kupata Ajali na kuumia?

Huwa analilia nn haswa?
Ni mtu wakutafuta sympathy daily utafikiri yy ndio wa kwanza kupata matatzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…