Ni kweli Wema amehamishia penzi kwa Mkongo?

Ni kweli Wema amehamishia penzi kwa Mkongo?

Status
Not open for further replies.
JPM mpe uyu binti hata ukuu wa Wilaya aseeee maana nahisi ana nguvu sana akiwa na mimba ni habari,imetoka habari kubwa,kaachwa ni habari,kapata bwana mpya habari nyingine naona wa Tz ndio uwezo wetu wa kufikiri umefikia hapa mpe Wilaya tena hapo hapo Dar atahamasisha sana maendeleo maana siku akiokota takataka basi jiji lote litafata kuna wasanii wamefiwa na waume/wake na wazazi kimya ila uyu ndezi imetoka mimba kidogo kuwe na matanga kwenye social networks khaaaaas JPM fanya fikra mtumie uyu binti.
 
Habarini.....

Leo insta naona kuna Maneno yanaendelea chini chini kubwa Bi dada wetu Wema Isack Sepetu sasa Amehamishia penzi kwa Mcongo Man anae itwa APOCALYPSEBELLA Millionea Mmoja ambae ameingia Mjini Siku za hivi Karibuni

Picha zimeanza kuzagaa chini chini zikionesha Wema akiwa na Huyo mkongo ambae amefikia hoteli fulani kubwa hapa Dar!

Katika ukurasa wake wa insta Apocalypsebella amempost Wema akionesha ni Sweartheart wake!

Huku wema Machungu ya Mimba kutoka yakiwa hayajaisha leo anakula bata na kumsahahu kijana wetu Idrissa ambae amekuwa akipambana na watu kuhakikisha kuwa Wema hashambuliwi kwa maneno na kuonesha kuwa akimpenda sana! Watu wamevapia page ya idrissa na kumpa pole sana hadi idrissa kupanic!

Kikubwa watu wanacho mshauri wema ni kuwa awe Makini maana inasemekana Mkongo anatabia Ambayo sio nzuri hasa za kuchukua video wakati akiwa ana s.x na mtu!

Amaa kweli Wema ni sikio La kufa
Kha bandika bandua
 
Wemaaaaaa is dampppppppppppp hafai anahitaji maombezi.....na hata hakua na mimba..... Ivi À R V hazimuhusu kweli huyu...au ngoma inachagua warembo hawapatii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom