NakaziaSio Moloko tu waje wamchukue na Mauya na Ngushi atakua kifungashio
Style ya Winger asili ilishauawa na Mess na Mo Salah. Hakuna timu inayotaka mafanikio itamsajili Moloko.Kama kweli Yanga wanania ya kumwacha Moloko basi heri Simba wamchukue, kwanza tumeona kiwango chake na tunaijua,halafu bado mdogo sema tu hapewi tu nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlimsufu sana leo hamumtaki.[emoji28][emoji28][emoji28] utombile mwakarobo!, Kuna timu au shabiki anaweza kuumia moloko akiachwa?. Mchezaji wa hovyoo winga Hana plani zaidi ya kukimbiakimbia... Hebu wahi airport kabla hajafika Congo.
Umewahi ona namsifu?, Ukimsifu au wakimsifu wao ndio kila mtu!.Mlimsufu sana leo hamumtaki.
Kweli gonhowazi mna tabu sana
Sio mchezaji wa maanaKama kweli Yanga wanania ya kumwacha Moloko basi heri Simba wamchukue, kwanza tumeona kiwango chake na tunaijua,halafu bado mdogo sema tu hapewi tu nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya comment za kipuuzi kabisa....Pale Yanga......Hakuna mchezaji hata Mmoja anayeweza Kuja Simba na Akapata namba...!
Huu ni ukweli,Japo kwa Wana Utopolo unaumiza...
Kuchezea Timu yenye Ubora Mkubwa namba 7 Afrika kama Simba Sio Jambo dogo
Sio Moloko tu waje wamchukue na Mauya na Ngushi atakua kifungashio
Vipi mlipanda boti ya saa ngapi kurudi bara[emoji28][emoji28][emoji28] utombile mwakarobo!, Kuna timu au shabiki anaweza kuumia moloko akiachwa?. Mchezaji wa hovyoo winga Hana plani zaidi ya kukimbiakimbia... Hebu wahi airport kabla hajafika Congo.
Nyie ndio mnatufanya tuitwe mbumbumbu, ina maana Diarra, Baca, Aucho, Pacome, Aziz K , Yao kwasi hawawezi kucheza Simba?Pale Yanga......Hakuna mchezaji hata Mmoja anayeweza Kuja Simba na Akapata namba...!
Huu ni ukweli,Japo kwa Wana Utopolo unaumiza...
Kuchezea Timu yenye Ubora Mkubwa namba 7 Afrika kama Simba Sio Jambo dogo
Hawawezi kucheza timu inayopigwa 5GPale Yanga......Hakuna mchezaji hata Mmoja anayeweza Kuja Simba na Akapata namba...!
Huu ni ukweli,Japo kwa Wana Utopolo unaumiza...
Kuchezea Timu yenye Ubora Mkubwa namba 7 Afrika kama Simba Sio Jambo dogo
Saa9 ulitaka tukuletee ubuyu wa mzee Issa?.
Muda wake utakua umefika..Umewahi ona namsifu?, Ukimsifu au wakimsifu wao ndio kila mtu!.
HahahahaNyie ndio mnatufanya tuitwe mbumbumbu, ina maana Diarra, Baca, Aucho, Pacome, Aziz K , Yao kwasi hawawezi kucheza Simba?
Hii hii Simba inayosajiri wachezaji lonyalonya waliochwa na timu🤣🤣 miez 6 mchezaji yupo nyumbani.Pale Yanga......Hakuna mchezaji hata Mmoja anayeweza Kuja Simba na Akapata namba...!
Huu ni ukweli,Japo kwa Wana Utopolo unaumiza...
Kuchezea Timu yenye Ubora Mkubwa namba 7 Afrika kama Simba Sio Jambo dogo