Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Kamchukueni ata kesho tutawapa bureKama kweli Yanga wanania ya kumwacha Moloko basi heri Simba wamchukue, kwanza tumeona kiwango chake na tunaijua,halafu bado mdogo sema tu hapewi tu nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wa mbandueKama kweli Yanga wanania ya kumwacha Moloko basi heri Simba wamchukue, kwanza tumeona kiwango chake na tunaijua,halafu bado mdogo sema tu hapewi tu nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata jina unalotumia linatosha kujua akili zakoPale Yanga......Hakuna mchezaji hata Mmoja anayeweza Kuja Simba na Akapata namba...!
Huu ni ukweli,Japo kwa Wana Utopolo unaumiza...
Kuchezea Timu yenye Ubora Mkubwa namba 7 Afrika kama Simba Sio Jambo dogo
Comment ya kipuuzi kabisa kuanzia 2024.Pale Yanga......Hakuna mchezaji hata Mmoja anayeweza Kuja Simba na Akapata namba...!
Huu ni ukweli,Japo kwa Wana Utopolo unaumiza...
Kuchezea Timu yenye Ubora Mkubwa namba 7 Afrika kama Simba Sio Jambo dogo
1-5Pale Yanga......Hakuna mchezaji hata Mmoja anayeweza Kuja Simba na Akapata namba...!
Huu ni ukweli,Japo kwa Wana Utopolo unaumiza...
Kuchezea Timu yenye Ubora Mkubwa namba 7 Afrika kama Simba Sio Jambo dogo
Leo nimekubali kweli ww hujui mpira,haya mchukueni.Kama kweli Yanga wanania ya kumwacha Moloko basi heri Simba wamchukue, kwanza tumeona kiwango chake na tunaijua,halafu bado mdogo sema tu hapewi tu nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpelekeni ihefu au singida, toka lini mchezaji akaitwa molokoKama kweli Yanga wanania ya kumwacha Moloko basi heri Simba wamchukue, kwanza tumeona kiwango chake na tunaijua,halafu bado mdogo sema tu hapewi tu nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app