Ni kweli Yusuph Mlela amekuwa teja?

Kwenye page zake za mitandao ya kijamii anapost picha kila siku anaonekana yuko poa tu ngoja tusubiri kama kweli anatumia unga itafahamika!
 
daaah mbona mimi ni mwaka wa 25 nakula unga (unga mkali.. heroin na cokein) hazijanidhuru.. nadhani kila mtu na kichwa chake na mwili wake..
 
Huyu kaka namfahamu.nafahamiana nae miaka mingi tu.sifikirii.nilimuona kama mwezi hivi uliopita yupo vizuri tu.
 

Mpwa unamshangaa Mlela.. Unaambiwa hadi FID Q na yeye inasemekana anatumia ngada
 
Bongo hii! Eti mtu kuubwia unga na kuishia kuwa teja au crack head ni ujanja!
Street shit!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…