Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
According to romaKula ngada ndio kwenda na wakati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
According to romaKula ngada ndio kwenda na wakati?
HahahaUnamkwoti Dina halafu unanitaja mimi ili iweje?
Au ndo umbea wenyewe huo?
Mwache dada wa watu atamani bana.
Naye yumo [emoji39] [emoji39] [emoji39]Handsomeeeeeeee
Hiyo "tusubiri afe" Kama ww ndo mtoa roho , hatujui siku wala SAA kwahiyo hiyo "Tu" itoeMwacheni avute, hayo maisha amechagua mwenyewe.
Akijisikia kuacha atapelekwa sober house akaponee huko.
Akigoma tusubiri afe, tumzike, maisha yaendelee.
Mm ndo sitokaa nikae hata kwa buree asee...na ushamba wangu wote,sijawahi tamani kuishi Kinondoni!
...Hell on Earth!
...teh hee hee..we unaweza,na dalili ushazionesha!Mm ndo sitokaa nikae hata kwa buree asee
Ana sauti nzuri huyoNaye yumo [emoji39] [emoji39] [emoji39]
ROMA kasema. Orodha ni ndefu.Kula ngada ndio kwenda na wakati?
Juma Mchopanga "Jay Mo"Nan ameandik hii mistari?
Mungu atunusuru sisi na vizazi vyetukipaji kinapotea
Hii ni kubwa kulikoMpwa unamshangaa Mlela.. Unaambiwa hadi FID Q na yeye inasemekana anatumia ngada
Na badoUNBELIEVABLE!!
babuu wa kitaa dongo kwa langa(r.i.p) na king'oko..langa akajibu "salam kwa kaka voda milionea mwambie mwanao aache ushoga na umbea"Nan ameandik hii mistari?