Ni laini gani ya lipa pesa ni bora kwaajili ya biashara?

Ni laini gani ya lipa pesa ni bora kwaajili ya biashara?

Kwa nini mkuu, toa sababu.

Nina Lipa ya voda, inasaidia sana kutoa bila makato makubwa, mtu akitaka kutuma pesa analipa na kukatwa kiwango kidogo sana.
Hii si huduma ya kutuma pesa. Ni ya kufanyia malipo ya bidhaa. Sasa kwakuwa umemwaga siri hii hapa, mitandao husika inaweza ikabadilisha sera. Vitu vingine ni siri ya biashara na si vya kuanika hadharani.
 
Hii si huduma ya kutuma pesa. Ni ya kufanyia malipo ya bidhaa. Sasa kwakuwa umemwaga siri hii hapa, mitandao husika inaweza ikabadilisha sera. Vitu vingine ni siri ya biashara na si vya kuanika hadharani.
Kwani unadhani naitumia kwa kazi gani mkuu, kulipia bidhaa. Au kwa vile nomesema "mtu akitaka kutuma"!
 
Ahahaha mawakala wengi naskia wamehamia huku
Hii si huduma ya kutuma pesa. Ni ya kufanyia malipo ya bidhaa. Sasa kwakuwa umemwaga siri hii hapa, mitandao husika inaweza ikabadilisha sera. Vitu vingine ni siri ya biashara na si vya kuanika hadharani.
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kusajili line ya lipa pesa, sijui ipi ni nzuri kwa ajili ya matumizi ya biashara.

Vodalipa
Airtellipa
Tigolipa

Nawasilisha
Unamaanisha lipa no? Vodacom ni nzuri by far kwa sababu hizi
1. Kiasi chochote unatoa hata milioni mara ya kwanza bure (Tigo ina limit ya laki 5)
2. Mara ya pili na kuendelea makato yanaongezeka ila still ni rafiki kwa laki kadhaa watakukata 1000-2000 wakati Tigo tegemea kukatwa 7,000

Inshort Tigo lipa no ni scam, wanamkata mteja na wanakukata na wewe kwa laki kadhaa Ukimaliza laki 5 yako ya bure unatumia zaidi ya elfu 10 kutoa hela, mara Mia umwambie Mteja atoe kwa wakala mushee gharama.
 
Unamaanisha lipa no? Vodacom ni nzuri by far kwa sababu hizi
1. Kiasi chochote unatoa hata milioni mara ya kwanza bure (Tigo ina limit ya laki 5)
2. Mara ya pili na kuendelea makato yanaongezeka ila still ni rafiki kwa laki kadhaa watakukata 1000-2000 wakati Tigo tegemea kukatwa 7,000

Inshort Tigo lipa no ni scam, wanamkata mteja na wanakukata na wewe kwa laki kadhaa Ukimaliza laki 5 yako ya bure unatumia zaidi ya elfu 10 kutoa hela, mara Mia umwambie Mteja atoe kwa wakala mushee gharama.
Asante mkuu
Paka sasa kutokana na coments za wadau

Naona naenda kusajili voda
Asante sana mkuu
 
Huu upuuzi unaoitwa LIPA unanikera sana aisee sijui kama mawakala hawaoioni hii changamoto bora wangeiotoa
 
Unamaanisha lipa no? Vodacom ni nzuri by far kwa sababu hizi
1. Kiasi chochote unatoa hata milioni mara ya kwanza bure (Tigo ina limit ya laki 5)
2. Mara ya pili na kuendelea makato yanaongezeka ila still ni rafiki kwa laki kadhaa watakukata 1000-2000 wakati Tigo tegemea kukatwa 7,000

Inshort Tigo lipa no ni scam, wanamkata mteja na wanakukata na wewe kwa laki kadhaa Ukimaliza laki 5 yako ya bure unatumia zaidi ya elfu 10 kutoa hela, mara Mia umwambie Mteja atoe kwa wakala mushee gharama.
Zingatia huu ushauri. Huyu jamaa Chief-Mkwawa ni muungwana sana. Si mchoyo wa kutoa ushauri wa kitaalamu kumsaidia mtu yeyote anayehitaji msaada. Ushauri wake wa kitaalamu huwa nauzingatia kwani umenisaidia kwenye mambo mengi. Ndugu Chief-Mkwawa, Nakutakia maisha marefu yenye ushindi na baraka tele ili uendelee kuwa msaada kwa wengine, kutokana ujuzi wako katika masuala ya kiteknolojia na mambo mengine pia.
 
Back
Top Bottom