Ni lazima Mikel Arteta atimuliwe ili Arsenal isishuke daraja

Ni lazima Mikel Arteta atimuliwe ili Arsenal isishuke daraja

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huu ndio ushauri ninaoupeleka kwa Bodi ya wakurugenzi ya Arsenal, Washabiki na wapenzi wao.

Arteta hana uwezo wowote wa kufundisha timu kubwa kama Arsenal, hana kitu na wala uwezo wake hauna tofauti na Kuku kishingo, bila kumuondosha huyu kocha Arsenal itashuka daraja, kama mnabisha subirini.
 
Arsenal sio timu kubwa tena, tuache kudanganyana. Wachezaji wa maana pale hawazidi wanne. Tukubali matokeo tu, hata kocha bora pale hupati kitu! Ni middle timu.

Wala sipotezi muda wangu kuifuatilia siku hizi, simba inafanya vizuri inatosha.
 
Mfukuzeni lakini mkumbuke Arsenal yenyewe ni Sawa na Safari ya Mwendawazimu haina Matumaini!
 
Back
Top Bottom