Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumlazimisha mtu ambaye hajui ukocha kufundisha timu yenu ni sawa na kuihujumu timu , Arteta hajawahi kuwa kocha popote zaidi ya kumsaidia Guardiola kukimbiza wachezaji kwenye viwanja vya mazoezi
Simba ni timu kubwa??
Pia Maniyuu siyo timu kubwa ni jina tu limebaki.Arsenal sio timu kubwa tena, tuache kudanganyana. Wachezaji wa maana pale hawazidi wanne. Tukubali matokeo tu, hata kocha bora pale hupati kitu! Ni middle timu.
Wala sipotezi muda wangu kuifuatilia siku hizi, simba inafanya vizuri inatosha.
uongozi wa Arsenal umepigwa zongoYule Mwalimu Wa Mazoezi Arteta hajui na wala hatajua Ukocha Milele ni mbabaishaji sana.
Mamluki wa Arsenal wanabisha***** Arteta manina
Hamna kocha humo , ni bahatisha ndulute tuvipi inashuka daraja?
vipi inashuka daraja?Hamna kocha humo , ni bahatisha ndulute tu