Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Habari za Jumapili wadau wote wa JF.
Hili jambo limekuwa likinitatiza kwa muda mrefu- Kwamba mtoto anapozaliwa ni lazima alie na asipolia automatically basi, jitihada zitafanyika ili alazimishwe kulia. Nimewahi kuambiwa kuwa, kulia humfanya mtoto mapafu yake yafunguke kumwezesha kuanza kupumua.
Swali- Kama suala ni kufungua mapafu, je, mapafu hayawezi kufunguka kwa kicheko? Kwanini iwe lazima atoe sauti ya kulia?
Je, hili jambo ni la kisayansi pekee au pia lipo suala la kiroho? Naomba wajuzi wa Mambo ya Kisayansi na Kiroho mnisaidie kupata ufahamu kuhusu jambo hili.
Hili jambo limekuwa likinitatiza kwa muda mrefu- Kwamba mtoto anapozaliwa ni lazima alie na asipolia automatically basi, jitihada zitafanyika ili alazimishwe kulia. Nimewahi kuambiwa kuwa, kulia humfanya mtoto mapafu yake yafunguke kumwezesha kuanza kupumua.
Swali- Kama suala ni kufungua mapafu, je, mapafu hayawezi kufunguka kwa kicheko? Kwanini iwe lazima atoe sauti ya kulia?
Je, hili jambo ni la kisayansi pekee au pia lipo suala la kiroho? Naomba wajuzi wa Mambo ya Kisayansi na Kiroho mnisaidie kupata ufahamu kuhusu jambo hili.