Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Naona ana anza kujielekeza kwa ROLE MODEL wake, marehemu Mzee Amin wa Uganda.
 
View attachment 1267903

iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.

Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?

Naomba kuwasilisha.

====
Maoni ya Wadau
akivaa hizo ulizotaja hataogopwaa. mshamba huyu kuna nchi yenye nguvu za kijeshi kama USA? Mlishaona raisi wa huko akivaa hayo madude? huyu anavaa ili awatishe anaowaongoza
 
Raia /uraia

nilidhani raia ni citizen

lakini kama maana zake ni sawa kati ya citizen na civilian, basi tunaweza kusema nchi hii ni ya "citizen leadership of the military..." au??
 
akivaa hizo ulizotaja hataogopwaa. mshamba huyu kuna nchi yenye nguvu za kijeshi kama USA? Mlishaona raisi wa huko akivaa hayo madude? huyu anavaa ili awatishe anaowaongoza
Hivi kuna raia bwege siku hizi wa kutishika na gwanda za jeshi ? wanajeshi kibao wanakimbizwa huko mitaani wakiwa ndani ya magwanda !
 
Magufuli ni bonge la mshamba, bonge la limbukeni, bado analimbuka mpaka kesho.

Ni kama mtoto umemnunulia nguo ya kuvaa sikukuu, yeye anataka aivae kila siku watu wamuone ana nguo mpya.

Nyerere nimemuona kavaa nguo za kijeshi kwenye harakati za Vita Vya Kagera tu.

Mwinyi sijamuona, Mkapa sijamuona. Kikwete ambaye alikuwa mwanajeshi na anaelewa "Civilian Leadership of The Military", kwa sababu ilimpa uchaguzi wa kuchagua jeshi ama siasa, sikumbuki kumuona kavaa magwanda ya kijeshi kama rais. Anajua walivyoondoka jeshini yeye, kina Makamba, Chiligati, marehemu Ditopile, na wengine wengi, ili wabaki kwenye siasa.

Magufuli limbukeni hajui au hajali hayo.
Kama unamkumbuka Nyerere kuvaa kwenye kupindi cha Vita ya Iddi, uko sawa
Sasa hii vita ya Kiuchumi huoni pia umuone rais amevaa ?
 
Mbona hujiulizi kwanini parade zote za kitaifa hakagui parade akiwa na IGP ilihali polisi pia wapo kwenye parade??
 
Tafuta video moja alipokuwa anazindua ofisi ya RC Dodoma, tazama wale wakuu wa majeshi walivyopangana pale mbele ya jengo utajifunza kitu
 
Back
Top Bottom