Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Avae hayo magwanda ili iweje? Mpate sababu mpya za kumnanga au?

Manake si kwamba akivaa sare za Magereza mtakuja hapa na kuanza kumpongeza....

Sanasana mtakuja na kuendeleza yale yale...’oh oneni huyu, sasa anavaa na sare za Magereza. Kaona zile za jeshi hazitoshi. Sasa anataka kuwa kamishna wa Magereza’

Tokeni hapa na unafiki wenu!
Mkuuu umewastukia!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ndo umezimia,kuna sehemu nimesema nchi nyingine,au magufuli ni rais was nchi nyingine? Elewa hoja ndugu,acha kukimbilia kupinga
Umeandika wakati umezimia au?,kwahiyo hata inchi nyengine wakivaa hayo magwanda wanawakilsha,jkt,magereza na polisi?
 
Avae hayo magwanda ili iweje? Mpate sababu mpya za kumnanga au?

Manake si kwamba akivaa sare za Magereza mtakuja hapa na kuanza kumpongeza....

Sanasana mtakuja na kuendeleza yale yale...’oh oneni huyu, sasa anavaa na sare za Magereza. Kaona zile za jeshi hazitoshi. Sasa anataka kuwa kamishna wa Magereza’

Tokeni hapa na unafiki wenu!
Hatakiwi kuvaa sare za kijeshi coz he is a civilian leader and not a military leader , hiyo ya amiri jeshi mkuu inaingia tu kama subtitle but main title Ni civilian leader
 
View attachment 1267903

iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.

Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?

Naomba kuwasilisha.

====
Maoni ya Wadau
Kuna siku atampiga mtu risasi. Anapenda sana mabavu
 
Komredi, long time no see! Uko poa?

Hapana. Asiendelee kuvaa hayo ya JW. Maana sasa kazidi. Kwa mfano, hiyo jana aliyavaa kwa kusudi gani? Manake hapo kwa video inaonekana shughuli ilikuwa ni ya kiraia.

Kwenye shughuli labda zilizo za kijeshi na ambazo labda zinafanyika porini porini huko kwenye makambi ya kijeshi, kama Ngerengere, akivaa magwanda naweza kuelewa. Dressing for the occasion.

Sasa pata picha siku akivaa magwanda ya Magereza au Polisi.

Like...seriously? Si atakuwa amewapa watu fimbo ya kumsulubia?

Ila dizaini za Magufuli wala huwa hazijali. Zikiona kuna kitu baadhi ya watu hawakipendi basi ndo zinazidisha sasa ili watu wazidi kukereka.

Si unaona kwa Makonda..

Hapo si ajabu Magu anamwacha tu jamaa ili kukera watu.

Na hayo magwanda si ajabu kayavaa kwa makusudi tu ili kuwakera wanaokereka.

Kama ushamsoma vizuri, Magu ana makusudi sana. Na usikute yupo humu anatusoma vizuri sana.

Ila walau apunguze kuvaa vaa hayo magwanda.

Haipendezi Rais wa kiraia kuyavaa vaa tu hata pasipohusika.
Cheo kimempata mshamba
 
Eti hili nalo ni hoja ya kisiasa kwa wafuasi was chadema ambao hawajui hata naana ya vazi la jeshi la ulinzi na usalama (_jw tz),

Mkuu tambua rais anapovaa sare za jw ambayo ina rangi za ugoro =jenzi la magereza ,kaki = jeshi la polisi ,kuna kijani ,ambapo kuna jkt nk.akivaa hivyo basi tambua amevaa sare za majeshi yote ,yaani yeye ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote yaliyo inchini ,so akivaa eidha ugoro tu ambayo ni sare ya magereza itakuwa hajafuata protocalli
Mshaurini aache ushamba. Ajifunze kwa waliomtangulia. natamani mwaka 2025 uje haraka kabla Tanzania haijawa historia.
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
Magufuli hashauriwi na washauri wake, yeye ndiye anawashauri.

Walianza kumshauri wachache, watu wakaona huyu Magufuli ukimshauri tofauti na anavyotaka yeye, anakutoa kazini, anamuweka mwingine.

Kama alivyofanyiwa CAG Assad. Kama alivyofanyiwa Lawrence Mafuru. Kama walivyofanyiwa wataalamu wengi tu.

Sasa washauri ambao wanataka kazi zao wameamua kumuacha tu.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]🤙🤙
Nyani Ngabu,
Niko komredi...

Nilikuwa kwenye mchakato wa kumwingiza Kasie kwenye 18. Haikuwa kazi rahisi. Nililazimika kuingia msituni na magwanda ya JKT....

Tukirudi kwa Bwana huyu, pamoja na katabia kake ka kupenda kukera watu, pia ana katabia ka ubabeubabe..

Sio ajabu kuvaa magwanda isiwe kwa nia ya kukera watu bali kuwapa taarifa wapinzani wake kuwa yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu... anaweza kuwafanya chochote akiamua.
 
Mimi napenda avae,na isiwe chukuchuku...aongezee na nyota na medali zote za kijeshi..ikiwezekana akisimama juu ya lile gari la wazi awe na RPG pembeni.
 
View attachment 1267903

iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.

Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?

Naomba kuwasilisha.

====
Maoni ya Wadau
Duuh kweli wewe ndo unawashwa vibaya Bora hata wenzako!!

Ulishajiuliza Ni lini utavaa nguo za Watoto wako wa kike kuunga jitahada za kuonyesha wewe Ni baba Yao?

Daah kila kukicha idadi ya watu wasio na hoja Imara mtaani inazid kupungua.. huyu nae ndo tushampoteza hivyo hawezi kurudi katika Hali yake ya usawa kwa akili hii.
 
View attachment 1267903

iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.

Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?

Naomba kuwasilisha.

====
Maoni ya Wadau
Ipo hivi JPM anapo vaa vazi la JW siyo kwamba analipendelea sana hilo jeshi na vikosi vingine kavibeza, hapana,.
Kwanza mkumbuke kwamba tunajeshi moja tu nalo ni Jeshi la Wananchi was Tanzania(JWTZ) polisi, magereza, uhamiaji hivyo ni vikosi vya ulinzi na usalama, siyo jeshi.
Aya tuje sasa kwa nini Mzee Baba anavaa sana kombati za JW, kwa sababu yeye ni Amiri jeshi mkuu, na Jeshi senior ni JWTZ then vinafuata vikosi vya ulinzi.
 
Unapobanwa na mharo ni bora ukimbie chooni fasta usije ukajiharishia..

Fool

Fool kwa nini, kwa kuuliza civilian ni nini?

Benjamin Mkapa amekiri, Waafrika hatujazoea "maswali ya kushambulia" ! Lazima uwake, utoe mapovu ukiulizwa kitu halafu ukagonga ukuta kwenye kufikiria jibu... Aliwaongelea wengi sana kwa ukweli ule
 
Avae hayo magwanda ili iweje? Mpate sababu mpya za kumnanga au?

Manake si kwamba akivaa sare za Magereza mtakuja hapa na kuanza kumpongeza....

Sanasana mtakuja na kuendeleza yale yale...’oh oneni huyu, sasa anavaa na sare za Magereza. Kaona zile za jeshi hazitoshi. Sasa anataka kuwa kamishna wa Magereza’

Tokeni hapa na unafiki wenu!

Bwashee naona umekua prophet

Unaongelea matukio ambayo hayajatokea with 100% certainty!

Ni haki yako lakini,bwaga maoni bwashee!
 
Back
Top Bottom