Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Hiyo picha ya Kinana na Kikwete walipokuwa jeshini, iko vizuri sana.
 
Mkifuatwa mkashughulikiwa ndugu zako watakuja hapa kuanzisha thread.
Mkishiba huku mko huru mnahara utumbo tu kwenye media.
Kuvaa jezi yoyote kwa rais kuna impact gani katika maendeleo.
Au hata siasa,maybe anapenda tu mavazi hayo.mbona mi ninayo kuanzia kapelo mpaka kiatu sijawahi hata kuwaza kumzulu mtu.
Hayo ni mavazi tu
Kama uelewa ndo huu basi bora nibaki mjinga
 
Amiri jeshi mkuu kuvaa nguo za jeshi nayo ni nongwa? yaani mnataka Amiri Jeshi Mkuu avae nguo za raia wakakamavu kweli? halafu za jeshi nani azivae? Amiri jeshi Mkuu atavaa gwanda muda wowote anayotaka na hakuna wa kumpangia na jinsi mnavyokereka ndio mnaharibu kabsa
Safi sana..Mwinyi, Mkapa na Kikwete waliogopa kuvaa hivi
 
Erythrocyte,
Sasa hivi mmeshakubali kuwa JPM ndiye mkuu Wa nchi. Sasa zile porojo zenu za kupinga matokeo na kufungua kesi huko The Hague ziliishia wapi?
 
Avae haya haya anayo yapenda lakini asiishie kuvaa tu afanye na kazi wafanyazo hao wanajeshi, sasa hivi kule Goma mauaji yamezidi ingependeza akaenda huko kujiunga na jeshi la umoja wa mataifa kutokomeza waasi wa ADF..
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza

kuna mtu unaweza kumuona kavaa nguo flani isiyohusika eneo lile ukaanza ku judge why why why,ila kwasababu hatuna tujualo tunaanza ongea yetu wenyewe.

Rais ana sehemu nyingi sana anaenda kwakua hatujui tunaona kama amevaa haya mavazi kwasababu ya kuja onyesha wananchi,hamna ajuae kabla hajaja hapo alitokea wapi au baada ya hapo anaenda wapi? hatujui kitu

tatizo letu tunaangalia amevaaje pale tunapomuangalia sisi tu ila hatuwezi jiuliza kabla hujamuona pale alikua wapi? au bada ya hapa ataenda wapi?

tupo kumuongelea vibaya kwenye kila afanyalo halafu kuna mijitu inajiita misomi wakati maswali mepesi tu yakujiuliza kama haya hawawezi. huko shule mlifata nini?
 
Avae apendavyo eti tumekaa mijitu mizima tuna discuus rais avaeje!! sheria ngowi nae atawaza nini?
 
Erythrocyte,
Hoja za uchaguzi wa serikali za mitaa zimeisha
Nyerere alipenda kuvaa mgambo,Rais halazimishwi kuvaa sare ya jeshi lolote,tufanye kazi jamani
 
Hoja za uchaguzi wa serikali za mitaa zimeisha
Nyerere alipenda kuvaa mgambo,Rais halazimishwi kuvaa sare ya jeshi lolote,tufanye kazi jamani

Hii inanikumbusha kisa cha kitabu kinachohusu mtu anayeshimika miongoni mwa jamii inayomzunguka ya waungwana na wasomi waliotukuka lakini 'mwenye pande' mbili ya Dr. Jerkyll and Mr. Hyde.

Muhusika ktk kitabu chenye jina 'Dr. Jerkyll na Mr. Hyde' ni mtu huyo huyo mmoja. Lakini kutokana na utafiti wa kisayansi anaoufanya kuna muda anaonekana kama Dr. Jerkyll mtafiti aliyebobea lakini akinywa kikombe cha madawa ya utafiti huonekana Mr. Hyde ktk pande nyingine za mitaa ya mji huohuo.

Moja ya utafiti hatari alioufanya Dr. huyu ni kufuta mikutano ya kisiasa huku akihimiza 'kampeni' za kisiasa zifanyike, vyama kuweka wagombea na ku-test taratibu za uteuzi wa 'kidemokrasia' wa wagombea wa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Nov 24, 2019. Ktk maabara yake Dr. huyu husaidiwa na wanaCCM viongozi wakubwa kaliba kama za PolePole , Mh sana Jafo n.k na wamekula yamini ya kutunza siri ya aina hii hatari ya uchujaji wagombea ktk maabara ya Dr. Jerkyll.

Kingine Dr. Jerkyll na Mr. Hyde wote wanaonekana kama watu wawili waishio ktk nyumba mtaa mmoja na anuani moja. Hili linazidi kuwatatiza watu walio karibu naye wanaomfuatilia ikiwemo jamii (forums), majirani, wale wadau wa maendeleo na marafiki zake (CCM asilia).

Ili Dr. Jerkyll kuendelea na drama hizi za kujitofautisha na Mr. Hyde, Dr. Hyde wakati mwingine inabidi ajitenge na marafiki zake ili aweze kuendelea kuonekana ktk nafasi ya upili ya mtu tofauti ingawa ni mtu yuleyule.

Turudi ktk maswali ya wanaJamiiForums wanaomfuatilia Mh. Rais kuhusu muonekano wake wa Rais raia lakini wakati mwingine anaonekana ni Rais mwanajeshi ingawa ni mheshimiwa yuleyule tunayemfahamu kama aliwahi kuwa mbunge na waziri aliyetoka uraiani inakuwaje sasa mara nyingi anajitokeza kama 'mwanajesh'.

Hii inaweza kuashiria nyumba hii mtaa ule ule na anuani ileile 'Tanzania' anayoishi raia huyu na wakati mwingine mwanajeshi huyu huyu kuwa haridhiki na inavyoendeshwa nchi hii kwa mfumo wa kiraia wa kidemokrasia ya vyama vingi yenye mihimili ya Bunge, Mahakama na Serikali Kuu. Muhusika anataka nchi iwe ya mfumo wa 'kijeshi' bila kelele za Bunge wala utawala wa kuzingatia sheria zitakazo kaziwa na Mahakama.

Tunaona maamuzi ya papo kwa hapo ya kisheria awapo njiani kutatua 'kero' za wananchi iwe za kisheria au kugawa fungu la fedha bila kuhusisha mihimili kama katiba ya nchi inavyotamka.

Na kama ilivyo ktk kitabu cha Dr. Jerkyll and Mr. Hyde inayomhusu mtu mwenye nafsi mbili lakini mtu yuleyule, maamuzi ya upande mmoja yaani ya 'kijeshi' yanazidi kumuelemea na ile dhana ya uraia inazidi kumpotea.

Hatujui hali hii ya kuegemea upande wa nafsi ya 'kijeshi' itatatupeleka wapi kama nchi. Maswali mengi hapa JamiiForums kuhusu hii dhana ya nafsi ya upili ya Dr. Jerkyll and Mr. Hyde itajibiwa na muda tu kuelekea 2020 , 2025 na kuendelea.
Strange Case of Dr. Jekyll and Mr. Hyde Theme of Good vs. Evil. Good vs. evil is basically the novel's biggest theme. More specifically, Dr. Jekyll and Mr. Hyde is easily viewed as an allegory about the good and evil that exist in all men, and about our struggle with these two sides of the human personality.
 
Nyani Ngabu,
Niko komredi...

Nilikuwa kwenye mchakato wa kumwingiza Kasie kwenye 18. Haikuwa kazi rahisi. Nililazimika kuingia msituni na magwanda ya JKT....

Babu Big Sam mtamuuu mmuah!!, hii hali ya hewa ya leo jiandae mapemaaa usijicheleweshe hataa sekunde.

Nachemsha supu ya Sato hapa, ndani ya nusu saa itakuwa tayari. Ningefurahi kama ungeinywa ikiwa ya motooo...

Karibu Sam Orijinale mwenyeweee upate madikodiko Matata..... mmmuuuahhh!!!

Matata the K.
 
Babu Big Sam mtamuuu mmuah!!, hii hali ya hewa ya leo jiandae mapemaaa usijicheleweshe hataa sekunde.

Nachemsha supu ya Sato hapa, ndani ya nusu saa itakuwa tayari. Ningefurahi kama ungeinywa ikiwa ya motooo...

Karibu Sam Orijinale mwenyeweee upate madikodiko Matata..... mmmuuuahhh!!!

Matata the K.
Mguu sawa!!!

On my way.
1574322326708.png


Afu tutoke hapa huu uzi umekaa kichochezichochezi ujue... hauendani na yale mambo yetu baada ya kugida K Vant na Amarula.
 
View attachment 1267903

iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.

Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?

Naomba kuwasilisha.
Jwtz ndiyo wenye ndege za kivita vifaru kila aina ya Siraha hata mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni CDF ndiye mwenyekiti wa bodi ya ulinzi, hiyo hiyo sare moja inatosha kuwakilisha vyombo vyote vya Dola kwani vipo chini yake, kumbuka magufuli ndiye Rais pekee toka ccm anayelipenda jeshi la polisi kupita Maelezo anawapenda hakuna mfano, hata wao wanajua kuwa wanapendwa Sana ingawa sare yao havai.
 
Nyani Ngabu,
Binafsi sioni shida. Ukiangalia anapoyavaa na jinsi anavyo interact na raia kwenye shughuli za kiraia anakuwa kama analisogeza jeshi kwa wananchi na kuwapa wananchi confidence kuwa wanajeshi si wa kuogopwa bali wa kuungwa mkono.
Sema zile kauli zake za "watakiona cha moto, tia ndani, ole wao" huku akiwa ndani ya combat huishia kuharibu dhamira nzuri yote.

Yeye siyo mwanajeshi by profession.

Kwa nini ajitwishe jukumu la kulisogeza jeshi kwa wananchi kwa lengo la kuwatia moyo wananchi kuwa jeshi si la kuogopwa bali ni la kuungwa mkono?

1. Wanajeshi wenyewe hawawezi kuifanya hiyo kazi kiasi cha Rais asiye mwanajeshi kuweza kuifanya?

2. Nani anawaogopa wanajeshi?

3. Nani hawaungi mkono wanajeshi?

Kama hivyo ulivyosema hapo ndivyo ilivyo kweli, basi tutakuwa na jeshi bovu kabisa.
 
hata kulieza suala hilo imebidi utumie lugha ngeni, kwa sababu ni dhana ngeni kwetu

civilian leadership ndio nini

na civilian ni nini?
Unapobanwa na mharo ni bora ukimbie chooni fasta usije ukajiharishia..

Fool
 
Mguu sawa!!!

On my way.
View attachment 1268089

Afu tutoke hapa huu uzi umekaa kichochezichochezi ujue... hauendani na yale mambo yetu baada ya kugida K Vant na Amarula.

Tweendee babuu tutongozanee I mean tuongozane nikakunyweshe thuupuu ya Sato ikifatiwa na kukuzimisha kwa K Vant....

Ila hicho kitu katikati ya miguu yako kwenye kamba za viatu usije nacho tasavaliii....

Utanijibu kule kwenye Mahaba hapa ndo sirudi teenaaa nsije kwaza watu bure.

Waumini wa siasa, mnisamehe buree Babu yangu aliniita hapa nikajua niko MMU kumbe niko siasani.
Nawaza nawaagaje sasa.....

1. Mapinduzi hoyeeee.... (mmhhh hapana haijakaa sawa)

2. Siasa hoyeeeee ...(mmmhh bado haikujii)

3. Kidumuuu chama cha siasa chenye demokrasiaaaa..... (Kipi sasa......)
Nasikia kuna mtu kaitikia zidumu fikra za mwenyekiti..... (Yuupiiiii.... wa TUICO au....!!!)

4. Mshikamanoooo....... Muitikie Daimaaaaaa. (Yaani tushikamane kwenye kuhakikisha uchumi wa nchi yetu unaimarika na kila mmoja afaidi keki ya Taifa walau kwa urefu wa kiganja chake) I hope it will be fair enough.

Eeehhh hivi nilikuwa naaga eeehhh, acha nibonyeze sent button vinginevyo ntakaa hapa na Alfu Lela Ulela zangu hadi usiku.

Mmmuah kwa kila apokeaye mahsusi kupunguza joto la siasa japo hali ya hewa ina kaubaridi.

Byeee.

Matata the K.
 
Ni kweli maana gwanda hutisha wabadhirifu, wahalifu na mafisadi. Hao watanzania unaotaja ni kina nani? Maana unajumuisha wote kuwa wanatishika, kweli? Acheni uhuni jamaa kawakamata. Nyerere mwenyewe unayemnukuu kavaa magwanda sana.
Fanya uchunguzi waliopiga bilioni 40 za Korosho ni akina nani...
 
Back
Top Bottom