gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Aisee umenifanya kufikiri nje ya box.Mwenzio kafutiwa uzi uliofikisha comments 32 kwa picha hii.
Wakati Maxence anapewa tuzo New York kwa sababu ya JF kusimamia ukweli na uwazi katika habari.
Hivi kosa ni la mtu kuijadili statement aliyoitoa rais ama ni rais kutoa statement ambayo ni ya udhalilishaji kwa raia? Oòps hebu niendelee kunyonyesha manake kibali cha kufyatua tayari nlishapewa. Nimefyatua na next yr nafyatua tena