Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

Angekuwa yuko Monduli, Ngerengere huko, au kule Kunduchi, ningeelewa.

Ila hapo alipo? WTF!’
Magufuli hata ununuzi wa korosho anapeleka jeshi.

Ni kama a one trick pony asiye na ujuzi mwingine wowote zaidi ya kutumia turufu ya nguvu/vitisho/jeshi.

Mpaka kwenye mavazi.

Ndiyo maana anashindwa siasa za ushindani anaishia kununua wapinzani ambao hata kumshinda wangekuwa na kazi ngumu.

Jamaa yuko underconfident kichizi.

Anatumia hayo magwanda ku boost confidence yake.
 
Ukipiga hayo madebe yakiisha utapiga nini?
Screenshot_20191121-075634.png
 
Wakati mwingine watu ni kama hua mnakosa kazi tu ya kufanya na kupoteza muda,yamkini wewe ni fisadi unaogopa, Rais kuvaa gwanda shida iko wapi,sisi tunajua ni Rais wetu huyu huyu wala hakuna shida yoyote,kweni nguo zina nini? mkija humu na kuanza kusema sema serikali mnajikuta mnapata zile comment nyingi za wasioelewa na mnaona ni kama sifa,miki hapa ni mwananchi hulu kama wanachi wengine na sioni shida ya Rais kuvaa gwanda
 
Kwamba, Daktari ambaye kwa miaka minne mshahara wake haujapanda kulingana na kupanda kwa bei ya bidhaa akiona mahindi yanapanda bei akalime yake. Yaani aache udaktari akalime mahindi. Hivyo hivyo mwalimu, mwanajeshi, karani nk wafanye hivyo.

Hivi anajuwa kwa nini bei ya mkate tuu imewahi kuangusha tawala nyingi duniani na wala hawajaambiwa wakaoke ya kwao?

Kama anao washauri basi ni vilaza
 
Hata Yesu watu wanamsubiri bado.

Subiri tu.

hii ni mipasho isiyohusiana na mada iliyopo jukwaani

Yesu na kurudi kwake si hoja tuliyonayo hapa, na kutokuweka pembeni mihemko, jazba, vijiba na vijembe si kuutendea haki mjadala mzima wa mavazi ya Kijeshi ya Rais na uzi huu...

Moja, lakini na pili ni kwamba Yesu na kusubiriwa kwake kunahusisha msingi muhimu wa imani ya kidini ya baadhi ya watu, na waungwana huepuka lugha zenye rangi ya kukejeli imani za kiroho za wengine

Tufanye nilikosea kukuuliza "civilian ni nini..." katika hoja yako ya "civilian leadership..." Alamsiki
 
Sio jambo la kushangaza. Wakati.nasoma chuo alikuwa anatoka na binti mmoja hadi akamzalisha mtoto. Hebu ni kae kimya
Hata Singida alikuwa anakajaga bar maid mmoja Hotel iko karibu na magereza hadi akamzalisha.
Baada ya kuingia utukufuni yule binti alikuja kuchukuliwa haijulikani alipelekwa wapi. Labda kaukata kapewa capital!
 
Wakati mwingine watu ni kama hua mnakosa kazi tu ya kufanya na kupoteza muda,yamkini wewe ni fisadi unaogopa, Rais kuvaa gwanda shida iko wapi,sisi tunajua ni Rais wetu huyu huyu wala hakuna shida yoyote,kweni nguo zina nini? mkija humu na kuanza kusema sema serikali mnajikuta mnapata zile comment nyingi za wasioelewa na mnaona ni kama sifa,miki hapa ni mwananchi hulu kama wanachi wengine na sioni shida ya Rais kuvaa gwanda

hebu waambie kabisa ww mwananchi hulu *huru* tutaelewana tu
Screenshot_20191121-075634.png
 
Kiranga,
Katu Raisi Magufuli hatafanya kama mnavyo taka nyinyi. Mvumilie au mtafute mbinu mpya. Lakini mkimtabiri kwa kutumia model ya watawala walio pita, mtahangaika sana.
 
Hata Singida alikuwa anakajaga bar maid mmoja Hotel iko karibu na magereza hadi akamzalisha.
Baada ya kuingia utukufuni yule binti alikuja kuchukuliwa haijulikani alipelekwa wapi. Labda kaukata kapewa capital!
Yule shost wangu yeye alibahatikapo zile nyumba za serikali. Mzee baba yuko fiti si mchezo
 
Back
Top Bottom