Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mkuu Eka dondo hapa mkuu tuelimike wote
kwa hapo sijui japo majina lazima yatoke kwanza makao kwamba hawa ndio wanatakiwa kwenda kwenye usaili baada yakutuma maombi ukienda RTS unakuta jina lako lipo. Mnafanya usaili wanaofuzu pale majina yanarudi makao kua hawa ndio walifuzu na wanaanza mafunzo sasa nahisi apo yanaporudi ndio hao wa connection wanaingia na majina yao yanarudi pia
 
Kwamba mkimalza usaili mnarud mtaani tena kusubri majina toka makao?
 
Linaweza weza kua lonja lenyewe au sio Kwa sabb kila mtu ana say yake subiri mpaka 11.ukiwa ujaenda...basi kariakoo usiame nikupe chimbo china.afu naona mpo kitunda Mimi nipo banana apa.
J pili nitpita kukuona hapo mkuu mm nashindaga hapa eapot kuna viishu navifanya fanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…