Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
Mkuu ivi ukitumiwa sms ya kuitwa rts unaenda na dongo kabisa au mpk upite usahili ndo utaenda kunyoa dongo🤣🤣Kuazia tarehe 3 vijana mtaaza kuitwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ivi ukitumiwa sms ya kuitwa rts unaenda na dongo kabisa au mpk upite usahili ndo utaenda kunyoa dongo🤣🤣Kuazia tarehe 3 vijana mtaaza kuitwa
📌📌📌📌 Mtupe majibu 😂😂Mkuu ivi ukitumiwa sms ya kuitwa rts unaenda na dongo kabisa au mpk upite usahili ndo utaenda kunyoa dongo🤣🤣
Ni pmSamahan mkuu watu wanaopitishiwa huko rts...majina yao huwa hayaanzii makao au kama wale waliochukua nafasi zenu kwenye panga la unfit
Mkuu Eka dondo hapa mkuu tuelimike woteNi pm
kwa hapo sijui japo majina lazima yatoke kwanza makao kwamba hawa ndio wanatakiwa kwenda kwenye usaili baada yakutuma maombi ukienda RTS unakuta jina lako lipo. Mnafanya usaili wanaofuzu pale majina yanarudi makao kua hawa ndio walifuzu na wanaanza mafunzo sasa nahisi apo yanaporudi ndio hao wa connection wanaingia na majina yao yanarudi piaMkuu Eka dondo hapa mkuu tuelimike wote
Yani kikubwa kama una mbanga yako iskilize tu inavokuelekeza wengine ata maombi hawajatuma na utawakuta RTSMkuu Eka dondo hapa mkuu tuelimike wote
Kwamba mkimalza usaili mnarud mtaani tena kusubri majina toka makao?kwa hapo sijui japo majina lazima yatoke kwanza makao kwamba hawa ndio wanatakiwa kwenda kwenye usaili baada yakutuma maombi ukienda RTS unakuta jina lako lipo. Mnafanya usaili wanaofuzu pale majina yanarudi makao kua hawa ndio walifuzu na wanaanza mafunzo sasa nahisi apo yanaporudi ndio hao wa connection wanaingia na majina yao yanarudi pia
Apana hamrudi ila mnaskilizia pale pale siku kazaa inategemeana na wingi wa watu ila hamrudiKwamba mkimalza usaili mnarud mtaani tena kusubri majina toka makao?
Mm nishalinyoa kabisa hapa niko nalipaka asali kila wikiMkuu ivi ukitumiwa sms ya kuitwa rts unaenda na dongo kabisa au mpk upite usahili ndo utaenda kunyoa dongo🤣🤣
Majina makao yanapelekwa na wao nyie majibu mnapewa pale pale sio makao tenaApana hamrudi ila mnaskilizia pale pale siku kazaa inategemeana na wingi wa watu ila hamrudi
Source ya taarifa yako?Kuazia tarehe 3 vijana mtaaza kuitwa
Mkuu utakuja kujishana na Mkurugenzi wa kamandi.. we kula lonja hiyoSource ya taarifa yako?
Yesss na bogi la mbanga nasikia ljnahongaga hadi wakufunzi wapunguze moto siku kadhaa huko koziMajina makao yanapelekwa na wao nyie majibu mnapewa pale pale sio makao tena
Linaweza weza kua lonja lenyewe au sio Kwa sabb kila mtu ana say yake subiri mpaka 11.ukiwa ujaenda...basi kariakoo usiame nikupe chimbo china.afu naona mpo kitunda Mimi nipo banana apa.Mkuu utakuja kujishana na Mkurugenzi wa kamandi.. we kula lonja hiyo
Alafu ukute ushatoa ela na form ya jwtz umeshasainishwa umeambatanisha na passport sizeLeteni lonja wazee leteni lonjaaa. Vichwa mitaan huku ninapata moto vijana wenu tunateketea asee
Hiv kuna watu walipigwq na mwaka huu tena kwa ujinga uleAlafu ukute ushatoa ela na form ya jwtz umeshasainishwa umeambatanisha na passport size
Baba utasubiri mpaka mwamposa ajenge kanisa
J pili nitpita kukuona hapo mkuu mm nashindaga hapa eapot kuna viishu navifanya fanyaLinaweza weza kua lonja lenyewe au sio Kwa sabb kila mtu ana say yake subiri mpaka 11.ukiwa ujaenda...basi kariakoo usiame nikupe chimbo china.afu naona mpo kitunda Mimi nipo banana apa.
Kunaiyo moja mwana aliona watu wanapigwa tochi akakimbia, sijajua mshkaji alikimbia nini yule, alafu atarudi jf nakuanza kusema watoto wawakulima hawapiti bila mbanga, sasa we unataka nani asajili machokoNa wana usaili mgumu nackia wanakagua mpka unyayo aisee co pw?