Uncle Reem
Senior Member
- May 14, 2023
- 115
- 210
Itakua Exhaust mbovu huyoKunaiyo moja mwana aliona watu wanapigwa tochi akakimbia, sijajua mshkaji alikimbia nini yule, alafu atarudi jf nakuanza kusema watoto wawakulima hawapiti bila mbanga, sasa we unataka nani asajili machoko
😂😂😂😂Itakua Exhaust mbovu huyo
Safi sana, tupe majibuNamskiliza msemaji apa
Wa jwtz wasafi ngoja nipige simu niulize usaili lini
Jamaa hajazungumzia kabisa..naona wamekapandisha cheo kalisugua muda mrefu na luteni kanali kama miaka saba hivi saivi amepanda kawa kanaliLeteni lonja mliofuatilia mahojiano yote ya huyu jamaa,amesemaje kuhusu usaili?
Waziii kaongeza hatua....Jamaa hajazungumzia kabisa..naona wamekapandisha cheo kalisugua muda mrefu na luteni kanali kama miaka saba hivi saivi amepanda kawa kanali
Wao hua wanaanza kozi mwezi january mwezi wa kwanza kwaio kaeni tayari mwezi wa tisa apo sms zinaanza kuingiaYaan hapa usaili kwenda tarehe hzi za karbu tusahau labda mpka madogo wa cadet wamalize usaili vikosin
Mpaka watoke kwenye sherehe zao za jeshi tar 1 lqbdaWao hua wanaanza kozi mwezi january mwezi wa kwanza kwaio kaeni tayari mwezi wa tisa apo sms zinaanza kuingia
Yeap hii hoja ina mashiko..Mpaka watoke kwenye sherehe zao za jeshi tar 1 lqbda
Mambo haya jeshini hayawezi kuzuia Mambo mengine jeshini kuendelea.yaani usaili wa cadet uzuie Mambo mengine yasiendelee kweli?Yaan hapa usaili kwenda tarehe hzi za karbu tusahau labda mpka madogo wa cadet wamalize usaili vikosin
Wala hata haviingiliani yani hyo haiwez kua 7bu kabisaaMambo haya jeshini hayawezi kuzuia Mambo mengine jeshini kuendelea.yaani usaili wa cadet uzuie Mambo mengine yasiendelee kweli?
Wazi afande, tupo hapa kuruti wa munguKalinye Kalinye.
Kuruta wa mungu.
We utakuwa mbilikimo TAFUTA kazi ya kufanya broKwa mm huyo bado mref sana. Mm nina Mita moja na nusu tu mkuu