Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kunaiyo moja mwana aliona watu wanapigwa tochi akakimbia, sijajua mshkaji alikimbia nini yule, alafu atarudi jf nakuanza kusema watoto wawakulima hawapiti bila mbanga, sasa we unataka nani asajili machoko
Itakua Exhaust mbovu huyo
 
Leteni lonja mliofuatilia mahojiano yote ya huyu jamaa,amesemaje kuhusu usaili?
 

Attachments

  • GVmw6iAWkAAAURM.jpeg
    GVmw6iAWkAAAURM.jpeg
    170.1 KB · Views: 12
Yaan hapa usaili kwenda tarehe hzi za karbu tusahau labda mpka madogo wa cadet wamalize usaili vikosin
Mambo haya jeshini hayawezi kuzuia Mambo mengine jeshini kuendelea.yaani usaili wa cadet uzuie Mambo mengine yasiendelee kweli?
 
Back
Top Bottom