Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Naona Apa mambo yameivaa ukooo
Screenshot_20240824_195533_Color SMS.jpg
 
Msisahau mikono kama imenyooka vzurii, meno yawepo yote kama moja lishatoka kivumbiiii.. mambupu yawe na peke mbili hahah ikiwa moja Unfit kuna watu bawasiri wanayo nao pembeni.. wanahitajika watu walionyooka...
Dah!! Acha tu mzee.


Bawasiri ilimrudisha mwanangu mtaani katika Bogi lililopita.

Jamaa alitumia kila dawa ili apone lakini ndio vile..

Inaumiza sana ukapata nafasi then ukarudi mtaani kisa unfit.
 
Dah!! Acha tu mzee.


Bawasiri ilimrudisha mwanangu mtaani katika Bogi lililopita.

Jamaa alitumia kila dawa ili apone lakini ndio vile..

Inaumiza sana ukapata nafasi then ukarudi mtaani kisa unfit.
Hii bawasiri shenzi sana ata sisi intake yetu wengiii ilitukuta tukiwa katka ujenzi wana kibao walitolewa Unfit ila kuna mchiz alitumia dawa moja ya kienyeji ikakaa sawa
 
Dah!! Acha tu mzee.


Bawasiri ilimrudisha mwanangu mtaani katika Bogi lililopita.

Jamaa alitumia kila dawa ili apone lakini ndio vile..

Inaumiza sana ukapata nafasi then ukarudi mtaani kisa unfit.
Acha tu
 
Back
Top Bottom