Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Watu wenyee mbangaa tena wa maana, hawako hapa kuulizia Updates,

Wako makwao kimyaa, kusubiri siku ya kuwasili maeneo.
Humu wotee ni Hoya hoyaa!!

Inachekeshaa humu hatareee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mbona mm nishatangulia msata wiki sass. Na watu wote humu wanajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…