Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sisi mbanga zetu ni ma private ndo maana hatuelewi tukaja huku
Thubutuuuuu!!! Mbangaa atashindwa kukutumia kwa text au kukupigiaa?
Aaaaah wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekutana na iveco sita zimetoka lugalo Leo ziko njian kwenda msata nyumba ziko na vitanda na Askari wa kutosha nilikuwa Niko njian kwenda bunju
Utafanya watu leo wawe hima himaa huko mtaani, em acheni watuliee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…