Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Subiri mzeeJamani wayatowe tu nishachoka kusubiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri mzeeJamani wayatowe tu nishachoka kusubiria
Mzee ulikua una mark tu nakuchora naona umeamua kutia wino kabisa 😂Subiri mzee
Wa vikosini walifanyiw usahili wa vyet wote mpak dip na degree ila za uso daras la saba ndanTangazo si linajieleza lakin fom4 na 6 au kuna jipya sikuliona
Iv si walisema hili bogi litabeba watu 6000-7000?
Mbona naona kikosin wanachukuliwa wachcahe sana?, sasa ni wa alert wenye nafasi zao wako msomela huko TANGA, sali sana, ukibahatika mshukuru MUNGU ,piga goti kbsaa.
Mkuu hivi wa mtaani wao kuitwa ni vpKama unajua unakitu special maybe unacheti cha ukocha au ulisoma zile lugha ambazo watu watu wengi wahajui labda kichina na ukaweka mule kwenye kutuma wewe usiangaike na mbanga jiandae kwenda msata
simu yako iwe hewani muda wote hawaeleweki ila mwezi wa tisa kabla ya tarehe 10 wataanza kuita watuMkuu hivi wa mtaani wao kuitwa ni vp
Upo sahihi mkuu taarifa za ndani nilizonazo zitakwenda kutangazwa tarehe 2 mwezi wa tisasimu yako iwe hewani muda wote hawaeleweki ila mwezi wa tisa kabla ya tarehe 10 wataanza kuita watu
Kutangazwa tena kwamba watatoa PDF mzee mbona unachanganya sasaUpo sahihi mkuu taarifa za ndani nilizonazo zitakwenda kutangazwa tarehe 2 mwezi wa tisa
Yani mpaka watu wachanganyikiweKutangazwa tena kwamba watatoa PDF mzee mbona unachanganya sasa
Duuh sasa mbona hawakusema elim ya vitu vingine zaidi ya form4 na 6? Daah apo nishakosaKama unajua unakitu special maybe unacheti cha ukocha au ulisoma zile lugha ambazo watu watu wengi wahajui labda kichina na ukaweka mule kwenye kutuma wewe usiangaike na mbanga jiandae kwenda msata
Hao wa la saba wana maelekezo yake marefu inaonekanaWa vikosini walifanyiw usahili wa vyet wote mpak dip na degree ila za uso daras la saba ndan
Jobles ndo naamka hapa nimeota nimevaa kitenge kipya.. yani naingia kambi tu na vita hiyo! Nikaanza kusikia nyimbo "mmelitaka wenyewe, mmelitaka wenyewe"Iv si walisema hili bogi litabeba watu 6000-7000?
Mbona naona kikosin wanachukuliwa wachcahe sana?, sasa ni wa alert wenye nafasi zao wako msomela huko TANGA, sali sana, ukibahatika mshukuru MUNGU ,piga goti kbsaa.
Daaah ila we mwamba una visa qmm+eeeee😂Jobles ndo naamka hapa nimeota nimevaa kitenge kipya.. yani naingia kambi tu na vita hiyo! Nikaanza kusikia nyimbo "mmelitaka wenyewe, mmelitaka wenyewe"
Nakna tunayaangalia maisha katika mitazamo ya usiriaz kila jambo. Let's be funny, mambo yatajipa tuDaaah ila we mwamba una visa qmm+eeeee😂
Uhakika mkuu... Vp hapo ndani rtiesin wenzako wameshafika?Nakna tunayaangalia maisha katika mitazamo ya usiriaz kila jambo. Let's be funny, mambo yatajipa tu