Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Wakuu kwn Hawa madogo waliokuwa Mujibu wa Sheria na wao wameitwa usaili?
 
Kama unajua unakitu special maybe unacheti cha ukocha au ulisoma zile lugha ambazo watu watu wengi wahajui labda kichina na ukaweka mule kwenye kutuma wewe usiangaike na mbanga jiandae kwenda msata
 
Kama unajua unakitu special maybe unacheti cha ukocha au ulisoma zile lugha ambazo watu watu wengi wahajui labda kichina na ukaweka mule kwenye kutuma wewe usiangaike na mbanga jiandae kwenda msata
Mkuu hivi wa mtaani wao kuitwa ni vp
 
Kama unajua unakitu special maybe unacheti cha ukocha au ulisoma zile lugha ambazo watu watu wengi wahajui labda kichina na ukaweka mule kwenye kutuma wewe usiangaike na mbanga jiandae kwenda msata
Duuh sasa mbona hawakusema elim ya vitu vingine zaidi ya form4 na 6? Daah apo nishakosa
 
Iv si walisema hili bogi litabeba watu 6000-7000?
Mbona naona kikosin wanachukuliwa wachcahe sana?, sasa ni wa alert wenye nafasi zao wako msomela huko TANGA, sali sana, ukibahatika mshukuru MUNGU ,piga goti kbsaa.
Jobles ndo naamka hapa nimeota nimevaa kitenge kipya.. yani naingia kambi tu na vita hiyo! Nikaanza kusikia nyimbo "mmelitaka wenyewe, mmelitaka wenyewe"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…