Na mtachanganyikiwa sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutangazwa tena kwamba watatoa PDF mzee mbona unachanganya sasa
Mwenye ronja atupe updateNa mtachanganyikiwa sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuko nane mpaka muda huuUhakika mkuu... Vp hapo ndani rtiesin wenzako wameshafika?
Ukisema wengi una maana gan? Mbona unawapa moyo ambao hawatakiw kuwa nao? Rts hapa tuko nane wakuu. Huko uraian ikifika tarehe 2 mwez wa 9 hujapigiwa wala kupokea sms fanza kazi zingineAcha niwape za uhakika. Jana wamesomewa majina kwenye makambi yote ya jkt na Leo zoezi Hilo linaendelea kwa wale vijana walioko kwenye kazi maalum nje ya vikosi wengine wqnajenga N.k
Walioko nje kuanzia jumatano hii kueni hewani unaweza pigiwa simu a sms. Watu wanahitajika ni wengi sana kwahiyo endelea kusali sana pengine ukapata nafasi. Asanteni sana
Ukiambiwa wengi unaelewa nini.jeshi hua linachukua watu kuanzia elf3 so kwakipindi hiki namba inaongezeka kidogo.Ukisema wengi una maana gan? Mbona unawapa moyo ambao hawatakiw kuwa nao? Rts hapa tuko nane wakuu. Huko uraian ikifika tarehe 2 mwez wa 9 hujapigiwa wala kupokea sms fanza kazi zingine
Batiki itakuwaHivi kile kitenge huwa ni material gani?
Nawapunguza presha kidogo, Mwaka huu mnaenda wote ila hamtamaliza wote😀Batiki itakuwa
Alafu we mzee unatutoa kwenye reli watu wanawaza mbanga hazipokei cm we unaulizia uniform kabisa, acha bhana hehehe
Mimi nawatamki vijana wote watamaliza salamaNawapunguza presha kidogo, Mwaka huu mnaenda wote ila hamtamaliza wote😀
Ni kunywa maji mengi moyo ueleeMimi nawatamki vijana wote watamaliza salama
Chamsingi kumbuka jamii inakutegemea itakupa nguvu yakupambana
Ni kunywa maji mengi moyo ueleeMimi nawatamki vijana wote watamaliza salama
Chamsingi kumbuka jamii inakutegemea itakupa nguvu yakupambana
Sio kambi zote za jkt zimesomewa jana ni chache tuAcha niwape za uhakika. Jana wamesomewa majina kwenye makambi yote ya jkt na Leo zoezi Hilo linaendelea kwa wale vijana walioko kwenye kazi maalum nje ya vikosi wengine wqnajenga N.k
Walioko nje kuanzia jumatano hii kueni hewani unaweza pigiwa simu a sms. Watu wanahitajika ni wengi sana kwahiyo endelea kusali sana pengine ukapata nafasi. Asanteni sana
MAE, 😁Na mtachanganyikiwa sanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenye ronja atupe update
Mawoooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MAE, [emoji16]